Kuhusu Tatizo la Uchafu Dar, Madrassatul Abraar tuna wazo litakalokuwa suluhu ya kudumu

Video clips inakuwa ngumu kupandisha hapa. Tutumie whatsapp 0625249605 utakutumia video clips .
Naona kama unafanya style fulani kutoipandisha
Video ya vizimba hivyo humu jf,unalazimisha watu waione whatsap
Sijui kama ni kweli unashindwa ku upload humu

Ova
 
Vinajengwa kama vile vya CocaCola na TCC ?
 
Hilo ndilo suluhisho lililotakiwa miaka yote ila kwasababu waliona kupiga faini ni chanzo cha mapato hawakutaka kusikia. Unamwambiaje mtu asitupe taka hovyo na huku sehem za kutupa ni za kuzitafuta?
Kama mkuu wa mkoa atakuwa seriuos kweli atakubaliana na wazo lenu. Au atafanya njia mbadala inayofanana na hiyo.
 
Of course, share tunayo hapo, kila Muislam, hujaona kuwa ni wazee wa Madrassa? Unafikiri zinajinedesha zenyewe?
Kwani kuna shida gani huko?.
Hajatajwa mtu wamejibiwa kama wote!.

👉🏾Hii ndiyo tunaita jiwe gizani.
 
Kwani kuna shida gani huko?.
Hajatajwa mtu wamejibiwa kama wote!.

👉🏾Hii ndiyo tunaita jiwe gizani.
Haswaa, hillo jiwe la kizani alikuwa anatupiwa ndege au ngedere?

Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Sisi ndio wadau wa Madrassa, hilo jiwe lako limenipiga. Wewe ulietupa jiwe, dini yako inakufundisha kutupa mawe kizani?

Tumeanza na Mzee Abdul kupitia hapa hapa JF kuanzia miaka inakaribia 10 sasa kama sio zaidi, toka alipoanza mkewe ku introduce Aunt Zainab's Natural Super Clay, akaja mzee Abdul na SACCOS ya Kimataifa. Tupo nae, na sasa anabuni mambo ya ujenzi, tupo nae na In shaa Allah tunaendelea kuwa nae, kwani kajidhihirisha kuwa ni mtu mbunifu, mchapa kazi, na hakuna kinachomkwamisha.

Vineno vyenu vya kijinga hivyo kama yeye hana muda wa kuvijibu basi elewa kuwa tupo sisi wadau wa miradi yake tutawajibu.

Tunafahamu kuna watu mliosomea ujinga roho zenu zinazidi kuungua mkiona jinsi wazee wa Madrassa wanayozidi kuwa pioneers, tokea kabla ya Uhuru mpaka leo hii. Si siasa si huu ubunifu wa Abdul, yote imeasaidia kunyanyua maisha ya jamii nzima.

Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Unalo zaidi?

cc: Mohamed Said
 
Una kimbelembele we Bibi wewe , pimbi kabisa @@£&&())))***""':!!!!!@€$¢¢¢[emoji2400]
Wewe usiye na adabu, mamako alikuzaa kinyuma nyuma? Jilete wewe kinyume nyume, watu kama wewe licha ya maneno ya kina waleee hata ID zenu zinaonyesha kuwa ni waleee, hamuwezi kujificha.
 
Maalim, kwanini usitume hapa, uko whatsapp utawatumia wangapi aisee, huoni kama ni mzigo,

tuma hapa kwa faida ya wengi/wote
Najaribu sana, huku tulipo mtandao wetu si mwema sana ku upload video clips.

Ngoja nijaribu kuzi screen shot video clips nipandishe picha. Hakuna kisichowezekana.

Pia mtu anaweza kujiunga na Telegram Messenger au Whatsapp group zetu tuna update mara kwa mara.
 
Picha chini zinaonesha kina mama wapo katika kuandaa jalala la pili la taka za kuchomwa. Ambazo badala ya kuwa ni iero na uchafuzi wa Mazda ngira zinageuka kuwa ni mbolea na dawa ya asili ya baadhi ya wadudu wanmazqo.

Jalala la kwanza ni a plastiki (polymers) ambazo ni hatari zaidi Kwa mazingira. In Shaa Allah siku za usoni tutaelekeza jinsi ya kujipatia pesa Kwa kutumia uchafuu huo wa mazingira wa plastiki zilizotumika na taka za kuchomwa badala ya kuzitupa hovyo na kuchafua mazingira.

Abraar Bricks Nyumba kwa Wote ni ujenzi wenye ubora wa Hali juu kwa gharama nafuu kwa faida ya wengi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Abdul Ghafur 0625249605.


 
Naona kama unafanya style fulani kutoipandisha
Video ya vizimba hivyo humu jf,unalazimisha watu waione whatsap
Sijui kama ni kweli unashindwa ku upload humu

Ova
tumeanza kupandisha humu kila hatua tunayokwenda nayo.

Haulazimishwi kufungua whatsapp, umeambiwa ukipenda au ukihitaji kujua zaidi.

Utuwie radhi sana sana kama hilo limekuudhi, nafahamu kuwa yote hiyo ni shauku ya kuona "wazee wa Madrassa wana kipi kipya" Kuna wengi wamekuja whatsapp na tumewarushia video cloips kadiri tuwezavyo.

Ni kweli kabisa kuna nyakati mtandao huku kwetu, hususan kukiwa na mawingu, unakuwa tabu sana ku upload video clips. Sio kuwa inashindikana bali inakuwa vigumu kwa kuwa inabidi tuache kufanya mambo mengine tusubirie zinapanda taratibu sana.

Pitia pitia uzi huu mara kwa mara utaziona hizo za ubunifu tuliouandika humu na ubunifu mwengine mwingi tu.

Abdul: 0625249605
 
Kwa kukuweka sawa tu
Wala sioni tatizo au shida nyie wazee wa madrasa kufanya jambo kama hilo

Ova
 
Bila picha ya kibanda siwezi changia kwa kweli
naona ni vizimba vya kuwekea uchafu
Sasa swali langu kwake hivyo vizimba vinahishika,kubebeka au watu wakishatupa
Hapo taka,wakandarasi wa taka wanakuja hapo
Kubeba taka kutoka hapo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…