Kuhusu UONGO wa kuokota injini za treni Bandarini. Je, Prof. Makame Mbarawa aombe radhi?

Kuhusu UONGO wa kuokota injini za treni Bandarini. Je, Prof. Makame Mbarawa aombe radhi?

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Kuna engine / vichwa vya treni vilikuwa bandarini na serikali ikadanganya kwamba havina mwenyewe.

Vichwa vya treni ni mitambo ya thamani kubwa sana na mara nyingi kama sio zote huundwa kwa mikataba maalum.

Haiyumkiniki kukawa na vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe, au vichwa vya treni vikaletwa hapa Tanzania bila ya serikali kuwa imeviagiza.

Ukiacha ukweli huo hapo juu, muandishi wa habari Ndimara Tegambwage aliweza kufuatilia suala hilo na kuandika makala inayothibitisha kuwa serikali ya Tanzania ndio iliyoagiza vichwa hivyo vya treni.

Jambo la kusikitisha na Prof. Mbarawa kushikilia propaganda kwamba vichwa vya treni vilikuwa havina mwenyewe. Vilevile yuko bwana mmoja wa Takukuru alihojiwa ktk TV na aliendelea kusema uongo kuhusu suala hilo.

Kwa maoni yangu Prof. Mbarawa anapaswa kujitokeza na kutubu kwa kuudanganya umma kuhusu engine/ vichwa vya treni vilivyokuwa bandarini DSM.
 
Hizo ndio siri za serikali, ambazo wengine wakijaribu kwenda kinyume nazo wanaondolewa ofisini, Mbarawa hawezi kuomba radhi kwani alifanya kulingana na makubaliano yao serikalini.
 
Baba akishafariki Basi aliowaacha duniani huwa wanapata tabu sana.

Ila hizi tabu zitawajenga, na siyo kuwauwa

[ Yaani unataka atubu kwa wewe mwenye mavi tumboni kama yeye , Naona zama kuabudiana zimerudi ]
 
Hata alie kuwa makamu, athubutu. Lakini ilitakiwa wajiuzulu kwa kumaanisha walipotoshs, sio kukalia kiti huku shutuma ni kwako
 
Kuna engine / vichwa vya treni vilikuwa bandarini na serikali ikadanganya kwamba havina mwenyewe.

Vichwa vya treni ni mitambo ya thamani kubwa sana na mara nyingi kama sio zote huundwa kwa mikataba maalum.

Haiyumkiniki kukawa na vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe, au vichwa vya treni vikaletwa hapa Tanzania bila ya serikali kuwa imeviagiza.

Ukiacha ukweli huo hapo juu, muandishi wa habari Ndimara Tegambwage aliweza kufuatilia suala hilo na kuandika makala inayothibitisha kuwa serikali ya Tanzania ndio iliyoagiza vichwa hivyo vya treni.

Jambo la kusikitisha na Prof. Mbarawa kushikilia propaganda kwamba vichwa vya treni vilikuwa havina mwenyewe. Vilevile yuko bwana mmoja wa Takukuru alihojiwa ktk TV na aliendelea kusema uongo kuhusu suala hilo.

Kwa maoni yangu Prof. Mbarawa anapaswa kujitokeza na kutubu kwa kuudanganya umma kuhusu engine/ vichwa vya treni vilivyokuwa bandarini DSM.
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Kuna engine / vichwa vya treni vilikuwa bandarini na serikali ikadanganya kwamba havina mwenyewe.

Vichwa vya treni ni mitambo ya thamani kubwa sana na mara nyingi kama sio zote huundwa kwa mikataba maalum.

Haiyumkiniki kukawa na vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe, au vichwa vya treni vikaletwa hapa Tanzania bila ya serikali kuwa imeviagiza.

Ukiacha ukweli huo hapo juu, muandishi wa habari Ndimara Tegambwage aliweza kufuatilia suala hilo na kuandika makala inayothibitisha kuwa serikali ya Tanzania ndio iliyoagiza vichwa hivyo vya treni.

Jambo la kusikitisha na Prof. Mbarawa kushikilia propaganda kwamba vichwa vya treni vilikuwa havina mwenyewe. Vilevile yuko bwana mmoja wa Takukuru alihojiwa ktk TV na aliendelea kusema uongo kuhusu suala hilo.

Kwa maoni yangu Prof. Mbarawa anapaswa kujitokeza na kutubu kwa kuudanganya umma kuhusu engine/ vichwa vya treni vilivyokuwa bandarini DSM.
hao wanalindana wenyewe kwa wenyewe.vichwa hivyo vimeagizwa na serikali hivyo kuficha kashfa hiyo ndo maana wanasema havina mwenyewe.tangu lini kitu kikubwa kama hicho kikose mwenyewe?kiliagizwa na shetani?baisi tuambiwe ni vichwa vya shetani.haiwezekani vichwa vitoke nje ya nchi halafu vikose mtu aliyeviagiza! shame on you.
 
Huyu naye hafai kuwa kiongozi hata kidogo

Nilianzisha uzi huo nikiuliza kwamba Wakati wa Magufuli na Kabudi wanadanganya nchi huyu alikuwa 2 i/c wake mbona kwenye uongo huo anawekwa pembeni kama vile hahusiki?
Kuna walio nishambulia kuwa nina chuki naye makosa ya mwingine Nampa yeye. Sijui suala la collective responsibility linamtoaje kwenye uongo huo huyu mama! Inawezekana hata sasa mengi tunapigwa fix mchana kweupe

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 

Nilianzisha uzi huo nikiuliza kwamba Wakati wa Magufuli na Kabudi wanadanganya nchi huyu alikuwa 2 i/c wake mbona kwenye uongo huo anawekwa pembeni kama vile hahusiki?
Kuna walio nishambulia kuwa nina chuki naye makosa ya mwingine Nampa yeye. Sijui suala la collective responsibility linamtoaje kwenye uongo huo huyu mama! Inawezekana hata sasa mengi tunapigwa fix mchana kweupe

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sahivi ni aibu tupu hakuna kinachofanyika
 
Back
Top Bottom