Habari za asubuhi wanajukwaa.
Nikisikiliza habari za magazetini leo nimesikia eti makamu wa Rais Dk. Mpango amewataka wanaofanya utafiti watafiti tatizo la ajira kwa vijana limeanzia wapi.
Kama mpaka leo kama kiongozi hujajua kama tatizo kubwa ni nani bora kunyamaza kuliko kuongea kauli kama hizo kama kiongozi mwandamizi nchini.
Pia eti anashangaa vijana kuchukua mashangazi. Mzee Mpango hotuba uliandaliwa au ulitoa kichwani?
Kwaufupi namshauri mzee asizungumzie suala la ukosefu wa ajira. Labda zaidi aishauri serikali isizalishe baadhi ya wataalam maana wamejaa kibao mtaani na ajira hamtoi.
Nikisikiliza habari za magazetini leo nimesikia eti makamu wa Rais Dk. Mpango amewataka wanaofanya utafiti watafiti tatizo la ajira kwa vijana limeanzia wapi.
Kama mpaka leo kama kiongozi hujajua kama tatizo kubwa ni nani bora kunyamaza kuliko kuongea kauli kama hizo kama kiongozi mwandamizi nchini.
Pia eti anashangaa vijana kuchukua mashangazi. Mzee Mpango hotuba uliandaliwa au ulitoa kichwani?
Kwaufupi namshauri mzee asizungumzie suala la ukosefu wa ajira. Labda zaidi aishauri serikali isizalishe baadhi ya wataalam maana wamejaa kibao mtaani na ajira hamtoi.