Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania

Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania

Sasa kama hujasoma unàtaka ufanye shughuli gàni?

Kama Ndugu au Mtoto yako Kasoma uhasibu na unakampuni utaacha kumuajiri awe mhasibu kama anataka Kazi?

Alafu hizô Kazi za kufua nguo au udereva aliyekuambia siô Kazi ni Nani?

Nani amekuambia siô Kazi muhimu?

Una Fikra potofu.
Nchi hii ukijidogosha ni wewe tu. Usijiweke kwenye kundi la unyonge
Hata mabodaboda wanaitwa maafisa usaforishaji
 
Hili la ajira marehemu Lowassa alilipigia sana kelele kuwa siku za usoni ajira zitakuwa tatizo.
Lakini kwakua viongozi wakishashiba na familia zao na chama chao Cha majambazi basi wengine tunaachwa tujijue wenyewe.
Kila mwaka magraduate wanamwagika mitaani, mipango ya serikali ni ipi??
NA ANASHANGAA VIJANA KUCHUKUA MISHANGAZI. HIYO MISHANGAZI INAHUDUMIA HAO VIJANA HIVYO INAIPUNGUZIA SERIKALI NA WAZAZI MZIGO. MASHANGAZI WAHESHIMIWE
Iheshimiwe tena iamkiwe kabisa
 
Back
Top Bottom