- Thread starter
- #21
Kweli apishe mwingine hapo asitake kuajiriwa peke yake😂😂😂Wajitafiti kwanza wenyewe kwa nini wameng'ang'ania kwenye madaraka kama gundi na hawataki kuachia madaraka?kwani hawajui kuwa kukubali kuachia madaraka nako nikutoa ajira kwa watu wengi?.