Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,841
Magufuli alisema tufyatue wewe huo uzazi wa mpango umeutolea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzazi wa mpango ni suala la kipuuzi, dunia inakabiliwa na janga la uhaba wa watu
Ukiruka na ndege ndo utajua tanzania sehem kubwa ni pori
Badaye wanakuwa panyaroadTatizo wanazaa watoto kulea sasa ndio kunaongeza umaskini
Tatizo wanazaa watoto kulea sasa ndio kunaongeza umaskini
Hivi kuwa na watoto wengi ni mpaka ufikishe idadi ya watoto wangapi?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app