[emoji848]Komaa nae ukifanikiwa kumpata wanakuwa-ga watamu kinoma hasa ukute kashakula weed aaah! utaukubali muziki wake
Why not! Customer care ni pamoja na kukubali chombezo ili hata kesho nirudi tenaKama yupo kaunta kwa maana ndiye anayeuza yupo kikazi zaidi NO kuchombezana hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unacho lalamikia mademu wa RHujaelewa wapi Mehek?!
Poa kaka ngoja niendelee labda ananibeeb na kutaka kujua km nipo serious kiasi gani...Komaa nae ukifanikiwa kumpata wanakuwa-ga watamu kinoma hasa ukute kashakula weed aaah! utaukubali muziki wake