Kuhusu Wasichana wa Arusha

Kuhusu Wasichana wa Arusha

Hakuna watu wagumu kuchapika kama TomBoy yaaani hata mlo wenyewe utatumia zaidi Masikhara na Ubabe kiasi vinginevyo utaishia kuzinguliwa daily. All in all utom Boy utamwisha akishabeba ujauzito ndio inakuwa bae bae maaana hakuna Nguo ya Mimba ya matom boy lazima avae Tenety au della.
Kuna tomboy tulisoma nae Secondary. Jamaa kamzalisha watoto wa 5 ndani ya miaka 6
 
Ungemnasa makofi halafu ungemwambia hata uvute bangi au uvae boksa wewe kwangu bado mtoto wa kike usitake kunipanda kichwani!![emoji15]
 
Hakuna watu wagumu kuchapika kama TomBoy yaaani hata mlo wenyewe utatumia zaidi Masikhara na Ubabe kiasi vinginevyo utaishia kuzinguliwa daily. All in all utom Boy utamwisha akishabeba ujauzito ndio inakuwa bae bae maaana hakuna Nguo ya Mimba ya matom boy lazima avae Tenety au della.
Hhahaha kuna tomboy mmoja yuko kitaa kwangu anakula fegi kama hana akili nzuri

Ana bahati sikai sana kitaa
 
Back
Top Bottom