Kuhusu Wasichana wa Arusha

Kuna tomboy tulisoma nae Secondary. Jamaa kamzalisha watoto wa 5 ndani ya miaka 6
 
Ungemnasa makofi halafu ungemwambia hata uvute bangi au uvae boksa wewe kwangu bado mtoto wa kike usitake kunipanda kichwani!![emoji15]
 
Hhahaha kuna tomboy mmoja yuko kitaa kwangu anakula fegi kama hana akili nzuri

Ana bahati sikai sana kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…