Kuhusu Wastara, Hapana TUMSAIDIE!

Aliulizwa ana MISS NINI KUTOKANA NA HALI YAKE, kama alikua mpenzi wa kucheza mziki kwanini asiseme ukweli kua ana miss kucheza??
tusipende kuwa mahakimu,
(you can't understand something you never had)
 

Hii isiwe sababu ya kutomsaidia mtu kwakua kuna wengene wanamatatizo lakini hawasaidiwi.

Unapotoa Mungu anakurudishia mara dufu huu ni ushuda sio blah blah
 
CCM INA WENYEWE....
NA HII NI LAANA KWA WOTE WALIOINGIZA HII NUKSI MADARAKANI....

KOMBA KAISOMA NAMBA
BONGO MOVIE NDO INAKUFA HVYO
DIAMOND KABAKIA MATUKIO TU MUZIKI MBOVU
STIVE NYERERE NDO ANASEPA HVYO
CHID BENZ NA YEYE NDO BASI TENA
WEMA SEPETU NA YEYE AMEBAKI KUGAWA PAPA TU
CLOUDS NA WAO WAMEISOMA NAMBA FINE FINE TU DAILY

N.B
Kuna wenye uhitaji kuliko yeye
 
sahiv maisha magumu sana. mwambie ajaribu kwenda ccm wamsaidie..Sisi wananchi wakawaida atuna kitu.Alafu mwambie Akazle roho..akifa atakuwa amekufa kama watu wengine.Anabidi ajihandae kisaikolojia.
 
Yaani serious kuna wengine wanamhukumu kwa kutumia kigezo cha itikadi za kisiasa?!

Waafrika tuna safari ndefu ya kufahamu siasa hasa ni nini....
Africa bado xna hasa ccm inayoshindwa kujitangaza yenyewe inakimbilia kutumia pesa kununua binadamu wenzake huku pembeni wameendekesa siasa za fitna na majivuno
 
Africa bado xna hasa ccm inayoshindwa kujitangaza yenyewe inakimbilia kutumia pesa kununua binadamu wenzake huku pembeni wameendekesa siasa za fitna na majivuno
What's the difference kati ya anayenunua watu na hao wanaonunuliwa?!
 
CCM oyeeeee. auze kadi yake kwa Lipumba halafu Lipumba aende magogoni abadilishe na ngawira. Diri tayari. Kuna watu wanashida wanakufa bila msaada, wewe unaongelea mtu ambaye ana kila kitu? Nenda vijijini uone watu wanavyoteseka na ndo hao baada ya miaka mitano wanavaa khanga na tshirts zile zile na hata majumbani ukiwatembelea kuta zina mapambo yale yale.
 
Walizunguka nchi nzima wakisimanga watu, kumcheka mzee wa watu. Si aende kwa wapiga pushap mafuko ya pesa wameshikilia tena hawataki wengine wawe nayo. Aamue kujitibia aache kulialia
Najua akitembeza bakuli pale lumumba kwa wajomba zake watampandisha ndege leoleo.
 
Mwenyezimungu ndie alieumba mbingu na ardhi na akaumba mataifa mbalimbali lengo ni kufahamiana na kusaidiana.Binadam akipata matatizo jihisi ndoo kama ww unayo kwa sababu binadam tulivyoumbwa tupo sawa.Maumivu anayoyapata ndoo yangenipata mm vilevile

Naomba tuache suala la kumhukum ss tutimize wajibu wa kumsaidia kama binadam mwenzetu mambo mengine tumuachie muumba,kuwa kwenye chama cha ccm haumuondelei ubinadam tuungane tutakacho kipata tumsaidie ndugu zangu
 
Yaani serious kuna wengine wanamhukumu kwa kutumia kigezo cha itikadi za kisiasa?!

Waafrika tuna safari ndefu ya kufahamu siasa hasa ni nini....
Siasa siyo wizi na uhasama kama wafanyavyo, siyo kurubuni, ndiyo hatujaelewa kabisa siasa mko tayari kuua walio na mawazo mbadala kwa maendeleo ya Taifa. Na hawa ndiyo hao wawapigiao debe kwa ushawishi wao wa ustaa mpk wanajitonesha.

Namba hiyo tunaisoma wote mshauri siku hizi pesa mtaani hakuna aende kwa msemaji wa wazee atamsaidia.
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Toa msaada Mkuu, na kutoa ni Mali si utajiri,
Lakini mimi siweziktoa msaada kwa mtu ambae
1.Anamiliki majumba na magari wakati Mimi hata pikipiki sina
2.Anaetaka kutibiwa abroad wakat hata hospitali za ndani zinawezakumtibu na kwa amani kabisa,
3.mtu ambae alianandamana na watu na ktumia kpaj chake kumtangaza lowasa ni mgonjwa,
 
Mimi siwezi kuchanga hata 100
 
Ahamie CHADEMA halafu aikosoe sana serikali na ikiwezekana atafute kata ya kugombea udiwani naamini hapo ccm watakuja na fedha za manunuzi. Sorry Dada Wastara mbelembele hadi kusikojulikana. Tuna fedha za kununua wanachadema na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…