Kuhusu 'Wawekezaji'... anaandika Maalim Nash

Kuhusu 'Wawekezaji'... anaandika Maalim Nash

Xxxxl na FNL huwa siangalii zimaaa.
Yanga ndio mabingwa habari za Azam mara sijui Simba ……..Zimaaaaaaa

Hahaha, hatari sana mkuu. Nash Qaida a.k.a mchochezi.

-Kaveli-
 
Goma la maana sana ila ndiyo hivyo wabongo wanaskizishwa mapenzi asubuhi, mchana na jioni.

Wabongo wanataka kusikia "weka mate iteleze'' by Diamond, au wasikie "sukari" ya Zuchu. Vibe huwapanda zaidi wakiskizishwa "Nampa papa" by Gigy money.

Bado safari ndefu sana kuzikomboa fikra za wabongo.

-Kaveli-
 
Wabongo wanataka kusikia "weka mate iteleze'' by Diamond, au wasikie "sukari" ya Zuchu. Vibe huwapanda zaidi wakiskizishwa "Nampa papa" by Gigy money.

Bado safari ndefu sana kuzikomboa fikra za wabongo.

-Kaveli-
Yani inasikitisha sana, unaweza kuelewa jamii tuliyo nayo imejaa watu wa namna gani.
 
Yani inasikitisha sana, unaweza kuelewa jamii tuliyo nayo imejaa watu wa namna gani.

'Social Engineering' through mainstream media and social media... utasikiiza (radio) na kutazama (TV) walichopanga wao, sio unachotaka wewe... na wamefaulu kwenye hili. Ndiyo maana leo hii kuanzia at family level hadi kitaa ni contents za mapenzi tu (season & nyimbo za mapenzi).

Ni aina fulani hivi ya jamii/kizazi inajengwa... in near future it is hell on earth!

-Kaveli-
 
IMG_20230722_211630.jpg


-Kaveli-
 
MHADHIRI mwenye V.V.U

-Kaveli-

Naaam.

 
Ni bahati mbaya sana wasanii kama Nash hawapewi airtime kwenye jamii yetu watanzania, japo kazi zao zina mchango mkubwa kwa jamii.

-Kaveli-
Aliimba

"Ndugu waandishi nawashukuru sana,
Na huwa si rahisi kuhoji ana kwa ana,
Kwasababu mi na media kitambo tushaachana,
 
Back
Top Bottom