Kuiba Misalaba, Mashada ya Maua Makaburini ni Laana

Ukinunua tiles zilizovunjika vunjika sio kuwa zimevunjika safarini au dukani, hapana zingine zimeng'olewa makaburini
Nilishangaa nilipoenda makaburini kuona ya jirani tiles zimebebwa tena makaburi mengi tu

Hivi si laana hizi
 
Ukiona hata wafu wanaibiwa vyao ujue tumefika pabaya kama jamii. Sungu sungu irudishwe mitaani kuleta amani.
Sungusungu ilete amani?
Labda hauwajui Sungusungu vizuri
 
Kuiba msalaba uliopo kaburini na kuiba fedha zilizotolewa na wafadhili kununua dawa, na watu wakafariki kwa kukosa dawa zilizopaswa kununuliwa, ni kipi chenye laana zaidi?

Wote ngoma droo ikizingatiwa walisema wenyewe: "kifo ni kifo tu."
 
Hii ni dalili ya wajinga kuwa wengi hii nchi mtu anaiba msalaba ili akauze kilo 300
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…