Kuibiwa kusikie tu

Mkuu, kila mtu ana kiwango chake cha hela anachoona ni kikubwa.

Kwako inaweza kuwa hela ya matumizi ya siku 1 ila kwa mwingine ni matumizi ya mwezi na zaidi.

Hiyo ndio hali ilivyo miongoni mwa jamii yetu
Unajua kuna watu humu wanadharau sana mkuu na wao kisa wamejipata na wanazani life ni kwa kila mtu
 
Hadi hapo hakukuibia ila alikukanya usiseme kuwa kuna kibaka mule ndani?

Nawaza kama ungewasanua watu au konda pindi ulipokuwa unashuka ili ashughulikiwe, wakati huo wewe ushaondoka.
 
Mwendokasi wamejaa sana nishawaumbua kama watatu, ila mwezi uliopita nilipigwa mimi laki 3 alafu nilimshtukia sema mbanano ule nilisogea ndani naona ananiangalia kwa kuibiwa mara yeye ndo ananipanga eti sogea utaibiwa niliposogea wakapeana ishara wakashuka nami kushuka kituo cha mwisho ndiyo nagundua hapa kausha damu wananihusu, wezi walaaniwe hasawa mwendokasi
 
Mkuu, kila mtu ana kiwango chake cha hela anachoona ni kikubwa.

Kwako inaweza kuwa hela ya matumizi ya siku 1 ila kwa mwingine ni matumizi ya mwezi na zaidi.

Hiyo ndio hali ilivyo miongoni mwa jamii yetu
Mimi nachojua jf hakuna masikini. wote wanagari kali wanabiashara zamaana, wanamajumba makubwa, kazi nzuri, wanapisi kali kama ni wanawake wanawaume matajiri bila kusahau wanadrive magari makali mfano bmw na sio passo
 
Ulikuwa umeziweka mfuko upi hizo hela
 
Mimi nachojua jf hakuna masikini. wote wanagari kali wanabiashara zamaana, wanamajumba makubwa, kazi nzuri, wanapisi kali kama ni wanawake wanawaume matajiri bila kusahau wanadrive magari makali mfano bmw na sio passo
Tuliopo humu ndio tuliopo mtaani.

Mtaani kwako, wote mna hizi sifa ylizotaja hapa?
 
Kuna kipindi nlipigika hatari mfukoni nlikuwa na kitita cha afu mbili. Huwezi amini nliipoteza kwa style yako hii hii ya kuikagua kama bado ipo kila muda.
Hahaha
Pole sana kiongozi.
Hapo hujaibiwa umeidondosha
 
Ulikuwa unatembea nazo ili iweje??tembea na pesa mwisho 50 tu zingine ziwe benki au kwa simu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…