Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vijiulize hili swali kwa makini.
Hii hali si ya kawaida na sisi wananchi tunaiona kwa macho yetu.
Hili wibi la ujambazi lililoibuka hasa baada ya Mama Samia kuingia madarakani na kutaka mabadiliko, hasa Dar es Salaam, kuna nini nyuma yake?
Tunajua kuwa majambazi kuna mtandao wao, na tunajua kuwa Polisi nao wana ingalau fununu juu ya mitandao hiyo na mara nyingi inachukua hatua kuivunja.
Wezi wa magari na vipuri wana mitandao yao.
Majambazi wa kuvunja nyumba na kuiba wana mitandao yao.
Waporaji na vibaka wanajulikana hasa maskani zao.
Wezi wa kalamu na kughushi nao wana mitandao yao.
Sasa ni kama wameamua saa ya kuonyesha uwezao wao na kufanya wnachotaka umewadia.
Hili ndio swali langu. Why now?
Je, wamepata "green light" ya kuendelea na vitu vyo toka sehemu fulani ndani ya jeshi la polisi?
Je, hii ni komoana komoana ndani ya jeshi la polisi?
Je, ni kwamaba bila mimi hapo DSM mambo hayataenda?
Nimejiuliza haya maswali sipati jibu.
Lakini waswahili walisema, Kikulacho ki nguoni mwako.
Hii hali si ya kawaida na sisi wananchi tunaiona kwa macho yetu.
Hili wibi la ujambazi lililoibuka hasa baada ya Mama Samia kuingia madarakani na kutaka mabadiliko, hasa Dar es Salaam, kuna nini nyuma yake?
Tunajua kuwa majambazi kuna mtandao wao, na tunajua kuwa Polisi nao wana ingalau fununu juu ya mitandao hiyo na mara nyingi inachukua hatua kuivunja.
Wezi wa magari na vipuri wana mitandao yao.
Majambazi wa kuvunja nyumba na kuiba wana mitandao yao.
Waporaji na vibaka wanajulikana hasa maskani zao.
Wezi wa kalamu na kughushi nao wana mitandao yao.
Sasa ni kama wameamua saa ya kuonyesha uwezao wao na kufanya wnachotaka umewadia.
Hili ndio swali langu. Why now?
Je, wamepata "green light" ya kuendelea na vitu vyo toka sehemu fulani ndani ya jeshi la polisi?
Je, hii ni komoana komoana ndani ya jeshi la polisi?
Je, ni kwamaba bila mimi hapo DSM mambo hayataenda?
Nimejiuliza haya maswali sipati jibu.
Lakini waswahili walisema, Kikulacho ki nguoni mwako.