ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Umesahau na wa 1.5tilion?Hivi kuna ujambazi mkubwa umewahi kufanyika Tanzania zaidi ya ule wa ESCROW?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau na wa 1.5tilion?Hivi kuna ujambazi mkubwa umewahi kufanyika Tanzania zaidi ya ule wa ESCROW?
Utaambiwa wewe ni sukuma gang...Ujambazi na wizi ulikuwepo na utaendelea kuwepo siku zote lakini kwasasa baada ya Magufuli kufariki umezidi sana
Enzi za marehemu taarifa mbaya ulikua huzisikii ilikua ni taarifa zinahusu kuvunja rekodi fainiHili suala la ujambazi naona linakuzwa kupita kiasi, haiwezekani na haitakuja kutokea nchi hii kusiwe na ujambazi.
Matukio ya sasa ni ya kawaida sana, jiji lenye watu karibu milioni 6 matukio haya ya sasa ni madogo sana.
Ujambazi ulikuwa enzi zile za kuteka vituo vya Polisi, kuvamia mabenki nk.
Au ww ndio jambazi mwenyewe??Hili suala la ujambazi naona linakuzwa kupita kiasi, haiwezekani na haitakuja kutokea nchi hii kusiwe na ujambazi.
Matukio ya sasa ni ya kawaida sana, jiji lenye watu karibu milioni 6 matukio haya ya sasa ni madogo sana.
Ujambazi ulikuwa enzi zile za kuteka vituo vya Polisi, kuvamia mabenki nk.
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vijiulize hili swali kwa makini.
Hii hali si ya kawaida na sisi wananchi tunaiona kwa macho yetu.
Hili wibi la ujambazi lililoibuka hasa baada ya Mama Samia kuingia madarakani na kutaka mabadiliko, hasa Dar es Salaam, kuna nini nyuma yake?
Tunajua kuwa majambazi kuna mtandao wao, na tunajua kuwa Polisi nao wana ingalau fununu juu ya mitandao hiyo na mara nyingi inachukua hatua kuivunja.
Wezi wa magari na vipuri wana mitandao yao.
Majambazi wa kuvunja nyumba na kuiba wana mitandao yao.
Waporaji na vibaka wanajulikana hasa maskani zao.
Wezi wa kalamu na kughushi nao wana mitandao yao.
Sasa ni kama wameamua saa ya kuonyesha uwezao wao na kufanya wnachotaka umewadia.
Hili ndio swali langu. Why now?
Je, wamepata "green light" ya kuendelea na vitu vyo toka sehemu fulani ndani ya jeshi la polisi?
Je, hii ni komoana komoana ndani ya jeshi la polisi?
Je, ni kwamaba bila mimi hapo DSM mambo hayataenda?
Nimejiuliza haya maswali sipati jibu.
Lakini waswahili walisema, Kikulacho ki nguoni mwako.
Du... watu wana kumbukumbu!Umesahau na wa 1.5tilion?
Ushauri muhimu kuhusu jiji la Dsm:-
1. Fungeni CCTV camera maeneo muhimu na barabara zote za Dsm kama tulivyanya Nairobi Kenya. Hakuna ujambazi tena.
2. Masuala ya kanda maalumu yamepitwa na wakati. Wekeni RPC mmoja tu wa Dsm.
3. Mikoa ya kipolisi iliyoweka Dsm ilikuwa ni lengo la ulaji na kuuziana deal ili kwingine kuharibike ilu ukimbambana unahamishiwa mkoa kamili kama arusha .mikoa ya kipolisi iondolewe.
4. Suala la polisi jamii ni muhimu kutumika Dsm. Mkuu wa kitengo cha polisi jamii tanzania hajui kaxi yake afukuzwe.
5. Kamati za ulinzi na usalama temeke , kinondoni na ilala hazijui wajibu wao, wakuu wa wilaya hizo mara watakapoteuliwa wilaya zifuatazo ( ilala,temeke, kinondoni, Rorya,na tarime) maDC wake WATEULIWE kutoka JWTZ au kesho la polisi.
Kwan kuna mtu amekataa kwamba haukuwepo ulikuwepoo ila now umezidiiiMbn kipindi Cha magu machalii wawili wa mtaani walisumbua sana kuiba kwenye matigo pesa Ila wakauliwa na wazee na walifanya matukio Sana walisumbua 2019 baada ya kuuliwa vijana wa maskani yake walifanya fujo Sana na wengi wakakamatwa ,mchizi mwingine wa tatu wa kitaaani nae mtu hatari kapotea haonekani Ike tetesi zinasema kafuchwa sentro.
Ujambazi ulikuwepo.
Nchi hii kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,maofisa wa CAG wanaomba rushwa kwa wakurugenzi wa taasisi Ili watengenezewe ripoti safi.Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vijiulize hili swali kwa makini.
Hii hali si ya kawaida na sisi wananchi tunaiona kwa macho yetu.
Hili wibi la ujambazi lililoibuka hasa baada ya Mama Samia kuingia madarakani na kutaka mabadiliko, hasa Dar es Salaam, kuna nini nyuma yake?
Tunajua kuwa majambazi kuna mtandao wao, na tunajua kuwa Polisi nao wana ingalau fununu juu ya mitandao hiyo na mara nyingi inachukua hatua kuivunja.
Wezi wa magari na vipuri wana mitandao yao.
Majambazi wa kuvunja nyumba na kuiba wana mitandao yao.
Waporaji na vibaka wanajulikana hasa maskani zao.
Wezi wa kalamu na kughushi nao wana mitandao yao.
Sasa ni kama wameamua saa ya kuonyesha uwezao wao na kufanya wnachotaka umewadia.
Hili ndio swali langu. Why now?
Je, wamepata "green light" ya kuendelea na vitu vyo toka sehemu fulani ndani ya jeshi la polisi?
Je, hii ni komoana komoana ndani ya jeshi la polisi?
Je, ni kwamaba bila mimi hapo DSM mambo hayataenda?
Nimejiuliza haya maswali sipati jibu.
Lakini waswahili walisema, Kikulacho ki nguoni mwako.
Ni kweli ila sasa hii so rushwa ya kitoto inayoongelewa hapa, tatizo ni mkono wa baadhi ya polisi wachafu, mkono usioonenaka kuwapa Kiburi majambawazi.Nchi hii kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,maofisa wa CAG wanaomba rushwa kwa wakurugenzi wa taasisi Ili watengenezewe ripoti safi.
Takukuru wanabambikia watu kesi Ili wawakamue pesa,
Wizara ya ujenzi,hupati kibari Cha ujenzi mpaka Utoe rushwa,polisi huko ndio usiseme,ni kama majambazi,
Pale Kahama nilishuhudia wanavamia guesthouse usiku,wanagonga vyumba kwa mateke Ili ufungue,wakikuta hujaandika kitabuni unaperekwa kituoni,au Utoe pesa.
Aisee.... sawaUshauri muhimu kuhusu jiji la Dsm:-
1. Fungeni CCTV camera maeneo muhimu na barabara zote za Dsm kama tulivyofanya Nairobi Kenya. Hakuna ujambazi tena.
2. Masuala ya kanda maalumu yamepitwa na wakati. Wekeni RPC mmoja tu wa Dsm.
3. Mikoa ya kipolisi iliyoweka Dsm ilikuwa ni lengo la ulaji na kuuziana deal ili kwingine kuharibike ili ukipambana unahamishiwa mkoa kamili kama arusha .mikoa ya kipolisi iondolewe.
4. Suala la polisi jamii ni muhimu kutumika Dsm. Mkuu wa kitengo cha polisi jamii tanzania hajui kaxi yake afukuzwe.
5. Kamati za ulinzi na usalama temeke , kinondoni na ilala hazijui wajibu wao, wakuu wa wilaya hizo mara watakapoteuliwa wilaya zifuatazo ( ilala,temeke, kinondoni, Rorya,na tarime) maDC wake WATEULIWE kutoka JWTZ au Jeshi la polisi.