Uchaguzi 2020 Kuichagua CCM ni kuchagua mateso makubwa

NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
 
Hahahah jomba unacheza na watanzania..naona...muulize Mange Kimav akueleze watanzania wakoje..mchana wanaweza kukuchekea ukadhan ume win..njoo kwenye sanduku la Kura Sasa uone..
Kula ccm kura kwa Tundu Lissu
 
Na wewe ni great thinker?
 
Atakayebisha haya ni mchumia tumbo wa Lumumba. Wananchi tuna JAMBO LETU rarehe 28/10/2020.
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Kwa hiyo Nani unadhan anaweza kututoa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…