Na suala la udhamini pia timu zetu zimefanikiwa sana, siku hizi hakuna timu ya ligi kuu ambayo utakuta kifuani kwenyw jezi zao kupo plain hakuna mdhamini..
Kuna baadhi ya club ndogo tu kama Namungo, Geita Gold, Singida big stars na nyinginezo utakuta zina wadhamini zaidi ya watano na kuendelea