Kuifunga Simba ndiyo kipimo cha ubora kwa timu za Tanzania

Kuifunga Simba ndiyo kipimo cha ubora kwa timu za Tanzania

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwa Tanzania ili timu ijue ubora wake ni lazima icheza na Simba na kuifunga.

Ndiyo maana timu nyingi zinapocheza na Simba uahidiwa mamilioni ya fedha tofauti zikicheza na timu nyingine.

Timu yoyote ile ikiifunga Simba, furaha ya wachezaji wake, makocha, viongozi na mashabiki huwa kubwa sana na timu nyingi hufanya sherehe.

Timu inayoifunga Simba huonekana ubora wake hautiliwi shaka na inakuwa ni kumbukumbu kubwa Kwa timu husika.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Na kama timu imejaa washamba watu wa kulimbuka, ndiyo utakuta wanachonga mabango na kuyatandaza barabarani na hata upite muda mwingi kiasi gani, Kila wakikumbuka hufanya sherehe za kunywa supu hata kama ni za kibudu.

Kwa kweli kama timu yako haijawahi kuifunga Simba, Bado haijawa timu bora.
 
Kwa Tanzania ili timu ijue ubora wake ni lazima icheza na Simba na kuifunga.

Ndiyo maana timu nyingi zinapocheza na Simba uahidiwa mamilioni ya fedha tofauti zikicheza na timu nyingine.

Timu yoyote ile ikiifunga Simba, furaha ya wachezaji wake, makocha, viongozi na mashabiki huwa kubwa sana na timu nyingi hufanya sherehe.

Timu inayoifunga Simba huonekana ubora wake hautiliwi shaka na inakuwa ni kumbukumbu kubwa Kwa timu husika.

Na kama timu imejaa washamba watu wa kulimbuka, ndiyo utakuta wanachonga mabango na kuyatandaza barabarani na hata upite muda gani hufanya sherehe za kunywa supu hata kama ni za kibudu.

Kwa kweli kama timu yako haijawahi kuifunga Simba, Bado haijawa timu bora.
Maumivu yakizidi muone daktari
 
Kwa Tanzania ili timu ijue ubora wake ni lazima icheza na Simba na kuifunga.

Ndiyo maana timu nyingi zinapocheza na Simba uahidiwa mamilioni ya fedha tofauti zikicheza na timu nyingine.

Timu yoyote ile ikiifunga Simba, furaha ya wachezaji wake, makocha, viongozi na mashabiki huwa kubwa sana na timu nyingi hufanya sherehe.

Timu inayoifunga Simba huonekana ubora wake hautiliwi shaka na inakuwa ni kumbukumbu kubwa Kwa timu husika.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Na kama timu imejaa washamba watu wa kulimbuka, ndiyo utakuta wanachonga mabango na kuyatandaza barabarani na hata upite muda mwingi kiasi gani, Kila wakikumbuka hufanya sherehe za kunywa supu hata kama ni za kibudu.

Kwa kweli kama timu yako haijawahi kuifunga Simba, Bado haijawa timu bora.
Simba hii hii yenye uchale mwingi?
 
Kwa Tanzania ili timu ijue ubora wake ni lazima icheza na Simba na kuifunga.

Ndiyo maana timu nyingi zinapocheza na Simba uahidiwa mamilioni ya fedha tofauti zikicheza na timu nyingine.

Timu yoyote ile ikiifunga Simba, furaha ya wachezaji wake, makocha, viongozi na mashabiki huwa kubwa sana na timu nyingi hufanya sherehe.

Timu inayoifunga Simba huonekana ubora wake hautiliwi shaka na inakuwa ni kumbukumbu kubwa Kwa timu husika.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Na kama timu imejaa washamba watu wa kulimbuka, ndiyo utakuta wanachonga mabango na kuyatandaza barabarani na hata upite muda mwingi kiasi gani, Kila wakikumbuka hufanya sherehe za kunywa supu hata kama ni za kibudu.

Kwa kweli kama timu yako haijawahi kuifunga Simba, Bado haijawa timu bora.
Unazungumzia Simba hii hii inayosubilia refa achezeshe dk 108 au nyingine? Unazungumzia Simba hii hii inayopata ushindi wa magumashi na penalty za mchongo au nyingine?
 
Kwa Tanzania ili timu ijue ubora wake ni lazima icheza na Simba na kuifunga.

Ndiyo maana timu nyingi zinapocheza na Simba uahidiwa mamilioni ya fedha tofauti zikicheza na timu nyingine.

Timu yoyote ile ikiifunga Simba, furaha ya wachezaji wake, makocha, viongozi na mashabiki huwa kubwa sana na timu nyingi hufanya sherehe.

Timu inayoifunga Simba huonekana ubora wake hautiliwi shaka na inakuwa ni kumbukumbu kubwa Kwa timu husika.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Na kama timu imejaa washamba watu wa kulimbuka, ndiyo utakuta wanachonga mabango na kuyatandaza barabarani na hata upite muda mwingi kiasi gani, Kila wakikumbuka hufanya sherehe za kunywa supu hata kama ni za kibudu.

Kwa kweli kama timu yako haijawahi kuifunga Simba, Bado haijawa timu bora.
Maumivu yakizidi, nenda hospitali.

YANGA BINGWA!😁😁😁😁
 
Hata wagonjwa wa akili hua hawaamini kama ni wagonjwa wa akili..
 
Timu haina kombe lolote tangu Kikwete aondoke madarakani 😀😀😀 eti ndiyo iwe kipimo!
 
kama ambavyo kolo mnavyookotwa kwenye vikao "mkinichagua tutaifunga Yanga"
 
Back
Top Bottom