Kiukweli nianze kwa kusema atukuzwe Mungu wa Mbinguni kwa kutupa neema ya siku ya leo. Moja kwa moja nikienda kwenye hoja napenda kuweka hoja mezani kama kichwa cha habari kinavyosema.
Kwa elimu yangu najua sasa tupo katika uchumi huru, unaotoa nafasi ya ushindani kati ya makapuni. Asilimia 99% ya kampuni ya simu na internet zinamilikiwa na wawekezaji toka nje, ili hali kwa Tanzania nadhani ni kampuni moja tuu ambayo ni TTCL. Hivyo kusema hilo, ni vyema serikali ingeiruhusu kampuni ya STARLINK nchini kwani pia ni uwekezaji toka nje.
Kwa kuikataa starlink naona, athari zaidi kuliko faida;
1. Bado soko la internet litahodhiwa na kampuni zile zile,
2. Huduma finyu zilizo na bei juu
3. Ukosefu wa ushindani wa ugunduzi na utafiti.
4. Tunakosa Ujuzi na uzoefu.
5. Tunakuja kuwa soko la Kenya (starlink Kenya), upuuuzi huu
Nashindwa kuendelea kuandika maana nikiliangalia hili swala na akili ya walioikataa naona kabisa, walikataa kwa maslahi yao binafsi na si kwaajili ya Watanzania.
Pia soma: Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania
Kwa elimu yangu najua sasa tupo katika uchumi huru, unaotoa nafasi ya ushindani kati ya makapuni. Asilimia 99% ya kampuni ya simu na internet zinamilikiwa na wawekezaji toka nje, ili hali kwa Tanzania nadhani ni kampuni moja tuu ambayo ni TTCL. Hivyo kusema hilo, ni vyema serikali ingeiruhusu kampuni ya STARLINK nchini kwani pia ni uwekezaji toka nje.
Kwa kuikataa starlink naona, athari zaidi kuliko faida;
1. Bado soko la internet litahodhiwa na kampuni zile zile,
2. Huduma finyu zilizo na bei juu
3. Ukosefu wa ushindani wa ugunduzi na utafiti.
4. Tunakosa Ujuzi na uzoefu.
5. Tunakuja kuwa soko la Kenya (starlink Kenya), upuuuzi huu
Nashindwa kuendelea kuandika maana nikiliangalia hili swala na akili ya walioikataa naona kabisa, walikataa kwa maslahi yao binafsi na si kwaajili ya Watanzania.
Pia soma: Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania