Kuikosoa Serikali ukiwa madarakani ni kazi ngumu mno

Kuikosoa Serikali ukiwa madarakani ni kazi ngumu mno

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kufupisha Uzi nitatoa mfano!

Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!

Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!

Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!
 
😳😳😳😳
Ukiona jambo dogo tu la kumsema dreva anaendesha vibaya enye kuhatatarisha maisha yako!

kiongozi ambaye hayupo katika safari ya kufa anawezaje kuanza kuikosoa serikali yake?
 
Kufupisha Uzi nitatoa mfano!

Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!

Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!

Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!
Screenshots_2022-12-04-10-34-19.jpg
 
Kufupisha Uzi nitatoa mfano!

Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!

Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!

Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!
Lakini ukiona kuendelea kuwepo ndani ya gari hilo kunaweza kuhatarisha maisha yako unaweza kumuomba ushuke!
 
Nilishakua kwenye hari unayoisema, nipo Dodoma naenda Singida, Dereva Mwanamke, anaendesha IT akiitoa Bandalini Dar anaipeleka Rwanda, Akanibeba pale njia Panda, hajalala vya kutosha toka atoke Dar jana yake, saa 8 mchana anaanza kusinzia Barabarani njia nzima anatembea yeye, mara ya kwanza nikamshtua, coz tulikua tunatembea njia isiyo yetu, mara pili akalala tena, nikamwambia mimi nimefanya kazi za Night shift, najua Uchovu ulivyo, nikamwambia paki pembeni ulale hata Dakika 15 tu ukiamka, usingizi utakata.

Akanisikiliza akapaki pembeni akalala kidogo, alivyoamka kawa mpya tukaendelea na safari, akinishukuru!

So ukiwa upo ndani ya Serikali badala ya kuikosoa kuna njia ya kuishauri kupitia Vikao, na isiposikia Ushauri, njia bora ni kujiuzuru.
 
Lakini sio kweli wanaokuwa madarakani huwa wana hizo njaa, wengi wao wameshakaa serikalini miaka mingi mpaka uzee umewakuta huko, wana miradi yakutosha, hivyo hawa kutoikosoa serikali ni uzembe wao tu.
 
Na haya ndio maana unaona watu wanatukuza tu ,mtaani kugumu ,biashara ngumu ,kilimo kugumu ,,harafu upoteze kazi kwa kupigania masikin ....

Masikin wenyewe hawana shukrani ....
Ndo hapo sasa! Ndiyo maana CAG MstaafuASSAD ATABAKI KUWA MTUMISHI BORA SANA KWANGU
Huyu MTU hana mfano,
 
Lakini sio kweli wanaokuwa madarakani huwa wana hizo njaa, wengi wao wameshakaa serikalini miaka mingi mpaka uzee umewakuta huko, wana miradi yakutosha, hivyo hawa kutoikosoa serikali ni uzembe wao tu.
Pesa tamu sana mkuu! Kama wana miradi mingi hawawezi kuthubutu kuikosoa serikali maana wanaogopa watajikuta hawana kitu kabisa
 
Kufupisha Uzi nitatoa mfano!

Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!

Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!

Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!

CCM HAO SIJUI WAMEKUKOSEA NINI? [emoji23]
 
Nilishakua kwenye hari unayoisema, nipo Dodoma naenda Singida, Dereva Mwanamke, anaendesha IT akiitoa Bandalini Dar anaipeleka Rwanda, Akanibeba pale njia Panda, hajalala vya kutosha toka atoke Dar jana yake, saa 8 mchana anaanza kusinzia Barabarani njia nzima anatembea yeye, mara ya kwanza nikamshtua, coz tulikua tunatembea njia isiyo yetu, mara pili akalala tena, nikamwambia mimi nimefanya kazi za Night shift, najua Uchovu ulivyo, nikamwambia paki pembeni ulale hata Dakika 15 tu ukiamka, usingizi utakata.

Akanisikiliza akapaki pembeni akalala kidogo, alivyoamka kawa mpya tukaendelea na safari, akinishukuru!

So ukiwa upo ndani ya Serikali badala ya kuikosoa kuna njia ya kuishauri kupitia Vikao, na isiposikia Ushauri, njia bora ni kujiuzuru.
Ukifanya hivyo unajiharibia kama bashiru
 
Halafu nasikia watu wanalilia maadili ya Kitanzania. Yapi wakati tumejaa unafki tu!

Mtu umekaa sehemu ambayo haukubaliani na kinachoendelea lakini uko tayari kukitetea na hata kudhuru mtu anayekipinga huku na wewe ukiwa haukubaliani nacho. UNAFKI TU!
 
Halafu nasikia watu wanalilia maadili ya Kitanzania. Yapi wakati tumejaa unafki tu!

Mtu umekaa sehemu ambayo haukubaliani na kinachoendelea lakini uko tayari kukitetea na hata kudhuru mtu anayekipinga huku na wewe ukiwa haukubaliani nacho. UNAFKI TU!
Hata wanaotishia maandamano ni vigumu sana kufanikisha maana huenekana kama majamvazi au mashetani wanaotishia uhai hivyo hata namna ya kuwashughulikia wanachukuliwa kama majambaz wa maslahi
 
Back
Top Bottom