Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mfumo wa hovyo sn wanafaidi wachache wengi wanaumiaKufupisha Uzi nitatoa mfano!
Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!
Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!
Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!
Tanzania hii wa kujiuzulu atafutwe kwingineNilishakua kwenye hari unayoisema, nipo Dodoma naenda Singida, Dereva Mwanamke, anaendesha IT akiitoa Bandalini Dar anaipeleka Rwanda, Akanibeba pale njia Panda, hajalala vya kutosha toka atoke Dar jana yake, saa 8 mchana anaanza kusinzia Barabarani njia nzima anatembea yeye, mara ya kwanza nikamshtua, coz tulikua tunatembea njia isiyo yetu, mara pili akalala tena, nikamwambia mimi nimefanya kazi za Night shift, najua Uchovu ulivyo, nikamwambia paki pembeni ulale hata Dakika 15 tu ukiamka, usingizi utakata.
Akanisikiliza akapaki pembeni akalala kidogo, alivyoamka kawa mpya tukaendelea na safari, akinishukuru!
So ukiwa upo ndani ya Serikali badala ya kuikosoa kuna njia ya kuishauri kupitia Vikao, na isiposikia Ushauri, njia bora ni kujiuzuru.
Kila katiba mpya hakuna kitakachobadilikaNi mfumo wa hovyo sn wanafaidi wachache wengi wanaumia
HakunagaTanzania hii wa kujiuzulu atafutwe kwingine
Bashiru alikua Kiongozi Mkubwa, anajua Miiko ya Uongozi.....Ukifanya hivyo unajiharibia kama bashiru
Lakini hakuna baya alilosemaBashiru alikua Kiongozi Mkubwa, anajua Miiko ya Uongozi.....
Ni sahihi, nani anakupinga.Kufupisha Uzi nitatoa mfano!
Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!
Kama huwezi kumsema vibaya dereva wako au kumkosoa kwa uderevawake mbovu! Ndivyo ilivyo vigumu kuikosoa serikali inayokulipa mshahara!
Serikali ni tamu sana ukiwa madarakani! Kwanza watu wakilalamika na kuponda unawaona kama mashetani mbele ya malaika!
Haha ndiyo maana Mange akabadili gia anganiKifupi Watanzania wameshakubaliana na haya maisha, mambo ya viongozi wao hayawahusu sana kikubwa usiwanyime udaku/umbea na mpira...
Unadhani Rais angekuwa anashitakiwa kama watu wengine kuna mtu angeleta upuuzi?Kila katiba mpya hakuna kitakachobadilika
China walifanikiwa kwa katiba yenye sheria kaliUnadhani Rais angekuwa anashitakiwa kama watu wengine kuna mtu angeleta upuuzi?
Ndiyo tudai hizo kaliChina walifanikiwa kwa katiba yenye sheria kali
Kwa keyboardNdiyo tudai hizo kali
Huwa inaanza kwa keyboard baadae inakuwa kweliKwa keyboard