Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 679
- 450
Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.