Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna kaukweli fulani hivi.Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Hii habari mbona haina kiuno imewezaje kusimama yenyewe?[/QUOTE]
Kwani nyoka ana kiuno? hii ni thread nyoka
Lete takwimu dola moja shs ngapi? Euro shs ngapi? Pound shs ngapi usije hapa na blanket statement kama hiiLeo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.
Kupanda thamani kwa fedha ya nchi hakuelezi lolote kuhusu kukua au kuimarika kwa kwa uchumi.Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.
Mama michepuko nayo imeshuka bei!Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Shilingi 2,000 hata nusu kilo ya nyama hupati, kama ni hivyo kheri biashara ya kuwa mchepuko niifunge.Mchepuko wangu unachukua hata Tshs 2,000/= Sikh hizi. Hatari sana.
Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Limekupata nini mkuu?Imebidii nicheke tu..
Hapana, limenifurahishaLimekupata nini mkuu?
Hakuna lolote sarafu ya Tz hali bado tete sana. acha kujipa matumaini ya kula ugali kwa picha ya samakiLeo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.
Me sikuhizi nikitoa nyingi sana ni kumi na tano kawaida ni kumi tu... Njoo chemba tuelewane bibie sky.. Tukiafikiana itakuwa poa..Shilingi 2,000 hata nusu kilo ya nyama hupati, kama ni hivyo kheri biashara ya kuwa mchepuko niifunge.
You must be kidding.Me sikuhizi nikitoa nyingi sana ni kumi na tano kawaida ni kumi tu... Njoo chemba tuelewane bibie sky.. Tukiafikiana itakuwa poa..
ivi ukiwa shabiki wa ccm lazima uwe na akili mbovu?Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake Magufuli.
Ni kweliNdoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.