Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwelii mnajali mda na hamtembei na saa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwelii mnajali mda na hamtembei na saa.
Teh teh wacha nyumba kubwa nazo zi enjoy.Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
BoT xrate buying 2116 selling 2118 average 2117Tuanzie hapa exchange rate ikoje Kwa sasa!
Hahahaha mkuu umejuaje.Dah,wengine mpaka tushaanza kujifunza kulima bustani za mboga mboga,ili kujazia kibaba
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiyo ni siri yao lakini cha muhimu kwetu ni kuwa saa mbili chakula tunakula wote, hakuna tena ile ya kuamka kumuandalia baba chakula saa sita usiku😀😀
Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake magufuli.
Hata hiyo ni dalili nzuri mkuu.Imepanda kwa % ngapi????
Isijekuwa 0.0000000000001
Hiyo ni siri yao lakini cha muhimu kwetu ni kuwa saa mbili chakula tunakula wote, hakuna tena ile ya kuamka kumuandalia baba chakula saa sita usiku😀😀
Ninachoona ni Importation effects imepungua which means exportation effects imeongezeka, this means matumizi ya dola yamepungua kwa vile hatuagizi tena bidhaa kwa wingi nje( matumizi ya dola), kwa hiyo lazima dola ishuke kidogo. But tukianza kuagiza itarudi tena. Vinginevyo tuanzishe viwanda ili export iwe kubwa( shilingi ya Tanzania inakuwa na matumizi kwa vile dolla itainunua TZS sana)Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake magufuli.
Hili nalo ni fanikio !!!?? Sasa subiri njaa ya mfukoni, kumbuka kuna hatari pia watoto kutolewe shule za St. Annamaria.Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Kumbe tuendelee kuificha pesa yetu kama inapanda thamani ili tuje tununue midola kibao hapo baadayeLeo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake magufuli.
Fafanua hyo improvement pliiizBoT xrate buying 2116 selling 2118 average 2117
Crdb xrate buying 2096 selling 2236 average 2116
Kweli kuna improvement