Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 679
- 450
Magufuli ameleta heshima mjini.
Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake magufuli.
Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.Mnaishi china nini? Huu muda ni hatarishi.
Any way ametumia vigezo gani?
Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
ahhahaNdoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Hahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh hatari aseee kwaiyoo ndio amekuamsha umpe.
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Ndoa zinaimarika, wababa baada ya kazi hawaendi kwenye michepuko wala kunywa bia.
Exchange rate inasemaje?Leo katika majadiliano ya kawaida na mtumishi mmoja wa NMB katika kumhoji kuhusu exchange rate, akasema kuwa kwa mara ya kwanza last week fedha ya Tanzania imeweza kupanda thamani ikiwa hii ni mara ya kwanza tangu Enzi za ruksa.
Kwa hili kama ni kweli tumpe haki yake magufuli.
Wanaume sikuhizi wanajua kubadilisha nappy na kuogesha watoto.[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mbona kama unanisema mimi[emoji134] [emoji134] [emoji23] [emoji23]Wanaume sikuhizi wanajua kubadilisha nappy na kuogesha watoto.
[emoji3]hisia za ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio muda ambao narejea ngamani! Kabla ya adhana ya pili!Mkuu haka kamda uko macho na zile thread zako unanipa wasi wasi. Umemaliza kazi mapema au leo uko off.
Mkuu haka kamda uko macho na zile thread zako unanipa wasi wasi. Umemaliza kazi mapema au leo uko off.
Wanaume sikuhizi wanajua kubadilisha nappy na kuogesha watoto.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio muda ambao narejea ngamani! Kabla ya adhana ya pili!
Hiyo ni siri yao lakini cha muhimu kwetu ni kuwa saa mbili chakula tunakula wote, hakuna tena ile ya kuamka kumuandalia baba chakula saa sita usiku😀😀Good, huduma nayo wanaweza au frustration zimatamalaki?