Kuingia Period kabla ya muda, Tatizo ni nini? Naomba msaada.

Mwambie asihofu ni mambo ya kawaida hayo kwe kusoma mwambie aende akaichukue kwa rafiki yake ile karatasi aliyompa atype ili aitumie kama ushahidi kwa mwl,mbona suala dogo kabisa hili oa sasa amesababisha mambo mengine makubwa......inaonekana huyo hajawahi kukutana na misukosuko migumu ya maisha mwambie akaze huko mbeleni kuna shida zaidi!!
 
Hicho ndio nilichomshauri mkuu.

Ahsante sana mkuu!
 
Hali hiyo huwa inatokea kama binti kapata mshtuko au ana mawazo sana huwa inasababisha bleeding, then baadae huwa inakuja kukata. Awe na amani tu
 
Mi wangu aliingia tarehe 13/3 then akaja kuingia tena 24/3 halafu tena jana tarehe 21/4 ameingia tena je shida inaweza kuwa nini hapo!?
Dhuuuuu hiii mbn kali
 
Subiri mpaka kesho, mbali na hapo nunua UPT kwa 1,000 ukampime. UPT akipima awepo na mwanamke mwingine wa kumsimamia kwa makini.

ANGALIZO: SOMA VIZURI MATUMIZI YA UPT KABLA YA KUITUMIA.
Pa1 mkuu au ntamsimamiaa ata mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…