Mnawajuaje hao ma-bikra? Kwa nini bikra hawezi kupata infection/fungus?..Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu...
Kitendo cha kukubali kuvua nguo zote na kupanda kitandani kinaonesha wazi kuwa ulikuwa tayari kwa lolote hata angeamua kuzamisha ndonga yake!!!!
Kwa mwanamke ukishasema tumbo linauma your very complex, kwa kawaida lazima akuulize kama kuna uchafu unatoka ukeni, unapokojoa mkojo unauma, unaharisha au unajua vidonda vya tumbo. Yote haya yanaweza sababisha maumivu chini ya kitovu.
Wanawake almost 90% ukitoka uchafu mweupe kama maziwa yaliyo ganda watakwambia uchafu wa kawaida. Infact hii ni fungus na inasababisha sana maumivu chini ya kitovu. Dr asipochunguza kwa kuweka vidole ukeni unaweza ukanywa madawa aina zote na usipone. Kwa hiyo dada hii ni kawaida. Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Pole kama hukuandaliwa kawaida Dr anatakiwa kuseek consent kwako mpaka ukubali ukikataa harusiwi kukufanyia kipimo chochote bila ridhaa yako. Be blessed.
Hahahaha,mbona hiyo ni kawaida,tena ukibeba mimba,DR anaingiza vidole kuangalia njia.
hii kazi niliitamanigi ila nikaikosa aisee hawa madokta wanapata raha sana
Ninachojua mimi jamani kuna kifaa kipo kama pamba ya kutolea uchafu masikioni ila yenyewe ni kubwa kidogo ambayo hutumika kutoa vipimo kutoka ukeni!!!
Hiyo ya vidole tena nina shaka nayo, labda ulijiremba sana na kuvunja kabati wakati unakwenda hospital!!!!
MUPIROCIN nilidhani wewe ni Doctor kumber ni hao hao.''Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.'' Imekaaje hii wenzangu
Mnawajuaje hao ma-bikra? Kwa nini bikra hawezi kupata infection/fungus?
ulichosema uko sahihi kuwa anapokuwepo Dr nurse anatakiwa kuwepo ila kwa mazingira ya kwetu watumishi wachache tena kunauafadhari serikalini lakin sekta binafsi ndo shida zaidi hawawezi kuajili manesi wengi kiasi hicho coz wanamaximize for profit, nashukuru kama tumeelewana
hujui nini unachoongea! Alichokosea jamaa hakumwambia huyo dada nin atamfanyia ili akubali au akatae. Kwa wale wafeminist ingekuwa bora zaidi mkipiga kelele na binti zenu wakasome medicine ili waje kuexamine wanawake. Hakuna procedure madoc wa kike huwa wanakwepa kama kumcheki sehemu za siri mwanamke mwenzie. Sijui ni kwa sababu wanazifahamu adha za huko! Aafu wadada mi nawashangaa sana wengine wanakuja hospital wakikuta dok wa kike hawaingii mpaka wakutane na mwanaume. Huku mnajidai mko sensitive sana na mambo ya jenda. Tutakutana labor!!