Kuiondoa CCM madarakani ni rahisi kuliko wakati wowote ule, tuanze kujipanga


hapa ni kipindi ccm inawapa msaada


hapa mkaamua kua wenyewe
 

Full information? 😂 😂 😂 😂 alipelekwa same hospital na ile aliolazwa lissu, is that what you call full information?
 
Mkuu hivi una habari kuwa wakati wa mwendazake Serikali ililipa makampuni mengi kwa siri?? Kitambo kidogo utakuja kuamini maneno yangu.
Kwanini yule Mkulima kawa kimya???
Mkulima gani
 
Umeandika sana ila shida ni kuwa umejaza pumba na umbea
 
Huwa nakuona kama una akili za kijiwejiwe, yaani upo kama jiwe(Hope ni sifa kwako na siyo dhihaka)
 
Usidhani watu wote ni hamnazo kama wew
 
Umeandika sana ila shida ni kuwa umejaza pumba na umbea
Endeleeni kukwepa vimvuli vyenu mkizani havitawafata. Hapa namaanisha kuwa endeleeni kulea tatizo mkidhani kuwa tatizo halitakuwa tatizo.
 
Usidhani watu wote ni hamnazo kama wew
Naona umekuwa mtetezi mkubwa wa utumbo uliofanywa na mwenyekiti, hata hivyo usichoke huenda akakukumbuka hata ktk kazi ya kusafisha msalani
 
Kifo cha jiwe bado furaha imo moyoni mwangu..

Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kijinga sana..

Katiba mpya + Tume huru ndio hitaji la moyo wangu kwa sasa kama mwananchi.

Bunge la Ndugai na Gwajima hovyo tupu
 
CCM wanajua fika kuitoa Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi ni sawa na kujitia kitanzi wenyewe.

Tume itabakia ndoto kwa watanzania na rasimu ya katiba mpya itabakia wenye makabati yao pale Lumumba.

Watanzania katiba mpya hudaiwa...tume huru pia hudaiwa - sasa ni kuamua kukaa kimya kusubiri uamuzi wa mahakama ama kusimama na kudai haki hii..
 
Kifo cha jiwe bado furaha imo moyoni mwangu..

Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kijinga sana..

Katiba mpya + Tume huru ndio hitaji la moyo wangu kwa sasa kama mwananchi.

Bunge la Ndugai na Gwajima hovyo tupu
Katika mambo ya kijinga aliyoyafanya huyo jamaa ni huo uchaguzi mkuu!! Hovyo kabisa!! Unyama mtupu!!
 
Mwaka 2020 october Muulize Mwendazake nini kingemtokea. Mbinu ya mwisho kabisa ni ile ikiyotumika. Sijui 2025 watakuja na ipi.
Mtajiliwaza hivyo hata baada ya uchaguzi was 2030. Hakuna chama cha upinzani cha kuiondoa CCM madarakani Jana, Leo wala kesho!
 
Never kwa tume hii ya bwana mahera?
 
Tukipata tume huru tu inatosha kuwapa maumivu ccm
 
Jaribuni kudai by force mkione cha mtema kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…