Kuiondoa CCM madarakani ni rahisi kuliko wakati wowote ule, tuanze kujipanga

Jaribuni tu kudai by force ndipo mtajua kwanini popo ni mnyama lakini anaruka kama ndege
Mpigie simu jiwe muulize kama angepata tena chance ya kuongoza tena je angetesa watu hivyo!!
 
Itakuwa ngumu sana maana yule mwendazake alitumia mi guvu ila hawa walioshikilia kiti wenyewe kwa sasa wanatumia akili na maarifa maana ni wenyeji wamepokea kiti chao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…