kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
CECAFA wanataka kuondoa uwezekano Wa Simba na Yanga kutokutana kwenye mashindano haya.
Mechi ya Simba na Yanga ndio mtaji Wa mashindano, hivyo wanahofia Yanga dhaifu kuondolewa mapema kama itapangwa kundi tofauti na Simba na kuwasababishia njaa na madeni.
Hii ni chukua chako mapema ya cecafa na Musonye
Mechi ya Simba na Yanga ndio mtaji Wa mashindano, hivyo wanahofia Yanga dhaifu kuondolewa mapema kama itapangwa kundi tofauti na Simba na kuwasababishia njaa na madeni.
Hii ni chukua chako mapema ya cecafa na Musonye