Kuishi/kufanya kazi kwenye msongamano wa watu wengi huharibu afya ya akili

Kuishi/kufanya kazi kwenye msongamano wa watu wengi huharibu afya ya akili

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Wafanyabiashara wa Kariakoo wengi ni nusu vichaa

Wanaoishi maeneo ya uswahilini kama Manzese Mbagala, Vingunguti, Buguruni, Kwa Mtogole, n.k wengi zimefyatuka.

Wanaoishi nyumba za kupanga familia 3+ kwenye nyumba moja wamechizika kabisa.
 
Wafanyabiashara wa Kariakoo wengi ni nusu vichaa

Wanaoishi maeneo ya uswahilini kama Manzese Mbagala, Vingunguti, Buguruni, Kwa Mtogole, n.k wengi zimefyatuka.
Acha kuzunguka sehem gani Dar ukikaa akili hazikufyatuki!!
Sio katika biashara Ni mwendo wa kupigwa
Barabarani ndo usiseme hata uwe mstaarabu vipi itakuwa nawe kichaa tu..
Mapenzi ndo kabisaaa..
Dar njia panda ya ulaya.
 
Kama kuna kaukweli fulani 😄

Ova
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Wafanyabiashara wa Kariakoo wengi ni nusu vichaa

Wanaoishi maeneo ya uswahilini kama Manzese Mbagala, Vingunguti, Buguruni, Kwa Mtogole, n.k wengi zimefyatuka.
Nawapa pole watu wanaoishinda Kariakoo. Ule mtaa sijui unaitwaje karibu na lile soko kuu, kuna kelele za watu + vipasa sauti balaa! Kuongea na simu ni shida!
 
Nakubaliana nawewe mfano wewe nenda kaa kama lisaa1 pale kaliakoo watazame watu walivyo kua wanajihami kwakila kitu.
Kuongea anajihami,kutembea anatumia nguvu kubwa,kumuhudumia mteja anajihami.
+mteja mwenyewe muangalie style zake anajihami.
Hivi unadhani kwamfano huo mtu akili yake itapata utulivu ilikuondokana na mkanganyiko wa Akili yake??
 
Mtoa mada yupo sahihi wakazi wa dar waliowengi ni vichaa yani ukimgusa tu hata kwa bahati mbaya atakushushia matusi mpaka basi .

Wengi wanatembea na stress kibao maisha yapo juu huko hatakama wanavipato vikubwa lakini na matumizi ni makubwa pia.Kodi ya nyumba,chakula,mavazi, usafiri,msongamano wa watu yote ni kero.
 
nipo kwenye kelele sikusikii, mesej yako inasemajeeee,,bila hizi kelele ningekosa tonge la kila siku,wacha ikae tu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom