Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
Hakuna umuhimu wa mwanadamu kula milo zaidi ya miwiliKivipi Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna umuhimu wa mwanadamu kula milo zaidi ya miwiliKivipi Mkuu
Hakuna umuhimu wa mwanadamu kula milo zaidi ya miwili
Muhimu kwenye kuoa ni vizuri kuchunguza ukoo kujua roho gani zimeshikilia ukoo
Solution ya yote hayo ni kijiconect na positive energy katika ulimwengu usioonekana.
Iko waz kwako...Taikon wa fasihi umefululiza sana machapisho hatimaye umeanza kuandika mada zisizo na ubunifu.
Yaani mambo ambayo ni ya kawaida kabisa na jamii inayafahamu ata sayansi imethibitisha habari ya vinasaba, mbona iko wazi.
Sasa umezungumzia kwamba kuna koo zimebarikiwa kuishi miaka mingi. Tena hapohapo unashauri watu wale milo. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.