Kuishi miaka mingi ni ishu ya Asili ya ukoo wenu

Kuishi miaka mingi ni ishu ya Asili ya ukoo wenu

Pia wanasema umri alioishi mama yako ni kipimo cha umri utakaoishi ww. Hili lina ukweli?
Wazazi wasingezika watoto wao. Kifo kinaogopesha, watu tunataka kusikia mambo hata yasiyokuwepo ilimradi yanatupa faraja. Ufe leo au kesho utakufa tu, hakuna haja ya kufikiri sana kuhusu hilo maana utatumia wakti uliopewa kufikiria wakati ambao si wako tena, wakati wa kifo. Labda kama ww ni mwanasayansi unakichunguza kifo, kinyume na hapo furaisha wakati wako.
 
Mkuu upo sahihi sana,mfano ni koo nyingi za kichaga,hawa huishi miaka mingi sana,hili nimelishuhudia mwenyewe,na wengine ninao nyumbani
 
Kwema Wakuu!

Kila ukoo unasifa zake. Unabaraka zake. Wapo waliobarikiwa Sura nzuri, wapo waliobarikiwa urefu, nguvu na wengine Akili.

Pia wapo waliobarikiwa kuwa na uzao mwingi.
Wapo waliobarikiwa asili ya Utajiri. Na wengi asili Yao ni umasikini.

Kila kitu kinaenda Kwa Mkondo.

Kitu pekee ambacho wengi hawakijui na ambacho ni muhimu ni kuwa,
Suala la umri Mkubwa pia ni ishu ya kijenetiki na kiroho.
Zipo koo ambazo watu wake Kupiga miaka 80-120 ni ishu ya kawaida. Kwao hilo sio ajabu.

Mjukuu anazaliwa anakuta Babu na Bibi zake wakutosha tuu tena wamepiga Age za maana.
Na wakati unakuta kop zengine mjukuu anazaliwa Kama atakuwa anabahati atakuta Babu au Bibi mmoja tuu ambaye ni Kati ya Babu Saba mpaka kumi waliomezwa na mauti. Tena Babu au Bibi mwenyewe hata miaka sabini haijui, Ni hawa Babu au Bibi Vijana.

Zipo koo ambazo watu wake hufa mapema hata kabla ya miaka sitini.

Kuishi miaka mingi ni baraka Kama Ilivyo baraka zingine.

Pia zipo familia zina Mkondo WA Mauti.
Ukioa au kuolewa nazo lazima uachwe mjane/mgane katika umri mdogo.

Unakuta umemuoa tuu mke wako, lakini kabla hamjafikisha hata miaka 40 Mkeo anakufa. Na kuacha watoto Yatima wa Mama.

Pia zipo familia ukiolewa nazo lazima mumeo afe kabla hajatimiza miaka 40.

Mambo haya hayatokei kibahati bahati, ni ishu zinazoenda na Mkondo.

Nafahamu Vijana wa siku hizi HAWAAMINI katika nature lakini hivyo ndivyo ilivyo.

Namna ya kuepuka na kujifuta katika Mkondo wa laana za mauti na kufikisha umri wako WA uzee uliopangiwa;

1. Jitakase na omba maombi ya kujitoa katika Mkondo WA mauti.

2. Tafuta mwenza mnayefanana Nyota/ubavu wako.

3. Takasa mwenza wako,jitakaseni pamoja na kuondoa laana za ukoo za Mkondo WA maiti.

4. Wajali na waheshimu wazazi wako iwe wakiwa hai au wakiwa wamekufa.
Kama wamekufa heshimu makazi Yao ambayo huitwa makaburi. Usiwatelekeze. Usije ukajidanganya mtu akifa ndio amekufa wakati ndiye aliyekuzaa.
Heshimu Baba na Mama yako iwe wakiwa hai au wamekufa.
Wakiwa hai wajali kwa kuwalisha vizuri, makazi mazuri, jitahidi hata Kama huna uwezo.

Wazazi hawakubariki upate riziki Ila wao wanauwezo wa kuongeza siku zako au kuzipunguza.

5. Jitakase kila mara karibu kila mwezi ikiwa wewe ni mlaji wa nyama.
Kila mwezi mwandamo jitakase na ondoa Mkondo WA mauti ikiwa kuna mnyama alikufa Kwa ajili ya wewe kumfanya chakula.

6. Lala masaa walau nane mpaka Tisa Kwa siku.
Kama hauoti ndoto jitakase ili walau Kwa siku uote ndoto moja.
Mtu asiyeota ndoto Nafsi yake IPO kizuizini au imekufa.

7. Kula chakula kingi ushibe.
Milo minne Kwa siku ukiwa na umri 20-34
Milo mitatu Kwa siku ukiwa na umri 35-45
Milo miwili Kwa siku ukiwa na umri 45- 65
Mlo mmoja Kwa siku ukiwa 66+
Kunywa maji mengi walau Lita tatu Kwa siku Kwa mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 20.
Kwa mwanamke angalau Lita tatu.


Zingatia mambo ya kwanza zaidi kuliko haya ya chakula na mazoezi.
Unaweza Kula vizuri na ukafanya mazoezi lakini bado roho yako ikawa dhaifu kukabiliana na Mkondo WA mauti.

Taikon huwa naongea Kama naota lakini ndivyo ilivyo. Mwenye kusikia na asikie.
Hata hivyo wote tutakufa na Hilo hakuna anayeogopa lakini hofu kubwa ni kuondoka tukiwa hatujajiandaa na kifo chenyewe.

Unakufa ukiwa na deni Kwa watoto.
Unawaachaje watoto na wajukuu zako?
Umri mrefu unasaidia kiasi kukabiliana na matatizo na kuisaidia familia.

Mtu ukifa na miaka 40 ukaicha familia yako na watoto wadogo inauma na kutesa zaidi ya mtu aliyekufa akiwa na miaka 80+
Ambaye atakuwa kasaidia watoto ikiwezekana na wajukuu zake.

Matatizo la kuishi miaka mingi ni Kama ifuatavyo;

1. Kushuhudia vifo vya watu uwapendao Kama watoto au wajukuu walioshindwa kukabiliana na Mkondo WA Nauru.
Inasemakana inauma kumzika mtoto uliyemzaa.

2. Upweke.
Umri mrefu Kama miaka 80 utakabiliwa na upweke Mkuu. Wenye umri Kama wako watakuwa wachache au wasiwepo kabisa. Hii itakufa uishi Kama maiti.

3. Magonjwa na Huduma kuwa mbovu.
Magonjwa ya uzee ni sehemu ya changamoto kubwa Kwa Wazee.

4. Kutoa laana Kama hautakuwa makini.
Umri huu Kama hukujipanga ujanani ni rahisi kuwalaani watoto wako endapo watashindwa kukuhudumia.
Mara nyingi familia Masikini hujikuta katika wakati mgumu zikiwa na Wazee WA umri mkubwa.

Umri saa hii wa kufa ni upi?
Uzi unakuja sasa hivi.

Ni Yule Taikon Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ila wewe jamaa unajifanyaga kila kitu unajua wewe siasa wewe, dini wewe, maisha unayajua wewe......punguza ujuaji mwingi hata Kama una kipaji cha uandishi
 
Ila wewe jamaa unajifanyaga kila kitu unajua wewe siasa wewe, dini wewe, maisha unayajua wewe......punguza ujuaji mwingi hata Kama una kipaji cha uandishi


Mbona sikujui wewe Kama Mimi mjuaji??

Saikolojia yako haipo Sawa. Kama ningeambiwa nikushauri ningekushauri jitahidi kunywa maji mengi, pia ulale mapema ili akili yako ipate utulivu.
 
Mbona sikujui wewe Kama Mimi mjuaji??

Saikolojia yako haipo Sawa. Kama ningeambiwa nikushauri ningekushauri jitahidi kunywa maji mengi, pia ulale mapema ili akili yako ipate utulivu.
Na mm ningekushauri utumie kipaji chako vizuri kuelimisha jamii
 
Taikon wa fasihi umefululiza sana machapisho hatimaye umeanza kuandika mada zisizo na ubunifu.

Yaani mambo ambayo ni ya kawaida kabisa na jamii inayafahamu ata sayansi imethibitisha habari ya vinasaba, mbona iko wazi.
Kama kwako haya mambo ni bayana tafadhali pita kimya. Watu tunatafakari hii mada hapa saizi kwa jinsi ilivyo touching
 
Kwema Wakuu!

Kila ukoo unasifa zake. Unabaraka zake. Wapo waliobarikiwa Sura nzuri, wapo waliobarikiwa urefu, nguvu na wengine Akili.

Pia wapo waliobarikiwa kuwa na uzao mwingi.
Wapo waliobarikiwa asili ya Utajiri. Na wengi asili Yao ni umasikini.

Kila kitu kinaenda Kwa Mkondo.

Kitu pekee ambacho wengi hawakijui na ambacho ni muhimu ni kuwa,
Suala la umri Mkubwa pia ni ishu ya kijenetiki na kiroho.
Zipo koo ambazo watu wake Kupiga miaka 80-120 ni ishu ya kawaida. Kwao hilo sio ajabu.

Mjukuu anazaliwa anakuta Babu na Bibi zake wakutosha tuu tena wamepiga Age za maana.
Na wakati unakuta kop zengine mjukuu anazaliwa Kama atakuwa anabahati atakuta Babu au Bibi mmoja tuu ambaye ni Kati ya Babu Saba mpaka kumi waliomezwa na mauti. Tena Babu au Bibi mwenyewe hata miaka sabini haijui, Ni hawa Babu au Bibi Vijana.

Zipo koo ambazo watu wake hufa mapema hata kabla ya miaka sitini.

Kuishi miaka mingi ni baraka Kama Ilivyo baraka zingine.

Pia zipo familia zina Mkondo WA Mauti.
Ukioa au kuolewa nazo lazima uachwe mjane/mgane katika umri mdogo.

Unakuta umemuoa tuu mke wako, lakini kabla hamjafikisha hata miaka 40 Mkeo anakufa. Na kuacha watoto Yatima wa Mama.

Pia zipo familia ukiolewa nazo lazima mumeo afe kabla hajatimiza miaka 40.

Mambo haya hayatokei kibahati bahati, ni ishu zinazoenda na Mkondo.

Nafahamu Vijana wa siku hizi HAWAAMINI katika nature lakini hivyo ndivyo ilivyo.

Namna ya kuepuka na kujifuta katika Mkondo wa laana za mauti na kufikisha umri wako WA uzee uliopangiwa;

1. Jitakase na omba maombi ya kujitoa katika Mkondo WA mauti.

2. Tafuta mwenza mnayefanana Nyota/ubavu wako.

3. Takasa mwenza wako,jitakaseni pamoja na kuondoa laana za ukoo za Mkondo WA maiti.

4. Wajali na waheshimu wazazi wako iwe wakiwa hai au wakiwa wamekufa.
Kama wamekufa heshimu makazi Yao ambayo huitwa makaburi. Usiwatelekeze. Usije ukajidanganya mtu akifa ndio amekufa wakati ndiye aliyekuzaa.
Heshimu Baba na Mama yako iwe wakiwa hai au wamekufa.
Wakiwa hai wajali kwa kuwalisha vizuri, makazi mazuri, jitahidi hata Kama huna uwezo.

Wazazi hawakubariki upate riziki Ila wao wanauwezo wa kuongeza siku zako au kuzipunguza.

5. Jitakase kila mara karibu kila mwezi ikiwa wewe ni mlaji wa nyama.
Kila mwezi mwandamo jitakase na ondoa Mkondo WA mauti ikiwa kuna mnyama alikufa Kwa ajili ya wewe kumfanya chakula.

6. Lala masaa walau nane mpaka Tisa Kwa siku.
Kama hauoti ndoto jitakase ili walau Kwa siku uote ndoto moja.
Mtu asiyeota ndoto Nafsi yake IPO kizuizini au imekufa.

7. Kula chakula kingi ushibe.
Milo minne Kwa siku ukiwa na umri 20-34
Milo mitatu Kwa siku ukiwa na umri 35-45
Milo miwili Kwa siku ukiwa na umri 45- 65
Mlo mmoja Kwa siku ukiwa 66+
Kunywa maji mengi walau Lita tatu Kwa siku Kwa mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 20.
Kwa mwanamke angalau Lita tatu.


Zingatia mambo ya kwanza zaidi kuliko haya ya chakula na mazoezi.
Unaweza Kula vizuri na ukafanya mazoezi lakini bado roho yako ikawa dhaifu kukabiliana na Mkondo WA mauti.

Taikon huwa naongea Kama naota lakini ndivyo ilivyo. Mwenye kusikia na asikie.
Hata hivyo wote tutakufa na Hilo hakuna anayeogopa lakini hofu kubwa ni kuondoka tukiwa hatujajiandaa na kifo chenyewe.

Unakufa ukiwa na deni Kwa watoto.
Unawaachaje watoto na wajukuu zako?
Umri mrefu unasaidia kiasi kukabiliana na matatizo na kuisaidia familia.

Mtu ukifa na miaka 40 ukaicha familia yako na watoto wadogo inauma na kutesa zaidi ya mtu aliyekufa akiwa na miaka 80+
Ambaye atakuwa kasaidia watoto ikiwezekana na wajukuu zake.

Matatizo la kuishi miaka mingi ni Kama ifuatavyo;

1. Kushuhudia vifo vya watu uwapendao Kama watoto au wajukuu walioshindwa kukabiliana na Mkondo WA Nauru.
Inasemakana inauma kumzika mtoto uliyemzaa.

2. Upweke.
Umri mrefu Kama miaka 80 utakabiliwa na upweke Mkuu. Wenye umri Kama wako watakuwa wachache au wasiwepo kabisa. Hii itakufa uishi Kama maiti.

3. Magonjwa na Huduma kuwa mbovu.
Magonjwa ya uzee ni sehemu ya changamoto kubwa Kwa Wazee.

4. Kutoa laana Kama hautakuwa makini.
Umri huu Kama hukujipanga ujanani ni rahisi kuwalaani watoto wako endapo watashindwa kukuhudumia.
Mara nyingi familia Masikini hujikuta katika wakati mgumu zikiwa na Wazee WA umri mkubwa.

Umri saa hii wa kufa ni upi?
Uzi unakuja sasa hivi.

Ni Yule Taikon Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Fafanua jinsi ya kujitakasa,hatua zipi zifanyike...
 
La muhimu ukiona ukoo wako haueleweki yaan umejawa gundu tu basi jitenge mapema sana, yaan jiondowe kbsa ktk ushirika wao na utakuwa safe.

Acha kushiriki faragha zao za kijumuiya pia shughuri zao zote, pia kaa nao mbali wanandugu wote jitenge na utafute mahala pa mbali kaishi huko umri wako wote na jamii tofauti.

pia la mwisho jifungue vifungo vya kiukoo, i mean kama ukoo wako ulikuwa na zile mambo fulan fulan za kuabudu upuuzi upuuzi na kurithishana upuuzi basi wew jitoe huko, acha kushirikiana nao kwa kila jambo.

Watakuona umechange lkn acha waseme muhimu unapambania maisha yako.

Ushahidi unaonesha kuwa wale wana ndugu wanao ishi jiran na kushirikiana kwa kila jambo basi hata maisha yao hufanana hivyo hata matatizo yao huwa aina moja, fuatilia hili utaona.

Kuna zile koo masikin sana lkn utashangaa wanae yule nduge ama mjomba/shangazi ambaye ni tajiri na anasemekana anaringa na kawatenga wanandugu haonekani mpka siku za misiba napo anakaa nusu saa na kusepa, hawa ndio wanajua siri hizi za kujiondoa ktka matatizo ya kiukoo.

Stay away na matatizo, usiseme hukuambiwa.
 
La muhimu ukiona ukoo wako haueleweki yaan umejawa gundu tu basi jitenge mapema sana, yaan jiondowe kbsa ktk ushirika wao na utakuwa safe.

Acha kushiriki faragha zao za kijumuiya pia shughuri zao zote, pia kaa nao mbali wanandugu wote jitenge na utafute mahala pa mbali kaishi huko umri wako wote na jamii tofauti.

pia la mwisho jifungue vifungo vya kiukoo, i mean kama ukoo wako ulikuwa na zile mambo fulan fulan za kuabudu upuuzi upuuzi na kurithishana upuuzi basi wew jitoe huko, acha kushirikiana nao kwa kila jambo.

Watakuona umechange lkn acha waseme muhimu unapambania maisha yako.

Ushahidi unaonesha kuwa wale wana ndugu wanao ishi jiran na kushirikiana kwa kila jambo basi hata maisha yao hufanana hivyo hata matatizo yao huwa aina moja, fuatilia hili utaona.

Kuna zile koo masikin sana lkn utashangaa wanae yule nduge ama mjomba/shangazi ambaye ni tajiri na anasemekana anaringa na kawatenga wanandugu haonekani mpka siku za misiba napo anakaa nusu saa na kusepa, hawa ndio wanajua siri hizi za kujiondoa ktka matatizo ya kiukoo.

Stay away na matatizo, usiseme hukuambiwa.
Taikon hii imekaaje?.
 
Back
Top Bottom