mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Wewe ni mbumbumbu?Kama kuishi na maskini Kama wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mbumbumbu?Kama kuishi na maskini Kama wewe?
Sipendi kuwasema mashabiki wenzangu but ni mbumbumbu kwa mujibu wa RAGE.Wakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..
Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....
Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
Ningekuwa Mbumbumbu yule Aliyekuzaa Wewe Uncircumcised Baboon and Fool angenipenda hadi Kumdharau Babaako?Mkuu nawaona, ndio maana nikauliza wenzangu mnaweza kuishiji nao huko makwenu?
Mtu kama OKW BOBAN SUNZU au GENTAMYCINE hawa ni kielelezo cha jinsi wanasimba walivyo mbumbumbu
Mwanaume ukiwa unajua Kukaza / Kutindua vyema kama GENTAMYCINE ni lazima tu utatajwatajwa na wenye Vinavyowawasha Sirini Kwao / Mwao.Kama Shabiki Wa Wamatopeni GENTAMYCINE Lazima Iwe Tabu Sana.
Wewe ni maskini wa kutupwa?Wewe ni mbumbumbu?
Mwana UJI FC vpTotolee uwizard wako...
a.k.a Utowizard...
Vyura wa mto msimbazi au wapiVyura ni vyura tuu...kelele jadi yao...