Ngumu sana kumridhisha mwanamke bila kujifanya fala. Mtakuwa mnashindana kila siku!!!kuwaelewa wanawake kunataka uwe zoba.
1. Ukiwa mtu malavi davi atakuambia Tafuta pesa, hom hapa hatuli hayo malavidavi yako.
2. Ukiwa mtu wa kutafuta pesa sana atakuambia ooh mimi nataka mtu wa kuwa karibu yangu muda ninaomtaka. Daah nashindwa kuelewa.
Jamani.....Mbona huu Uzi kila nikisoma naona Wanaume weeengi wanatoaa nyongoo zaoo zote.Hii inaonyesha Ni jinsi gani wengi Wenu Moto unavyowawakia ndani.Ila ushauri.Kabla ya kutoa Riboti kwenye jicho la mwenzako toa kwenye jicho lako kwanza.Na pia Mimi kama Mama nilichogunduaa..mwanzo wa chuki ndani ya ndoa Ni ile Wanaume kupunguza Mapenzi kwa mama,Yale ya mwanzo anayahamishia kwa mchepukoo.Hapo lazima moto uwake.Na kutokujali..Mwanamke ukitaka kumuweza mjari tu.Mfano.Mnunuliege Hata card ya Buku au maua au khanga ya Elfu 5.Fanya ivyo badilikeni.Kero yetu sisi wamama.Kwa wengi wetu.Gubu...kitu kidogooo unaongeaaaaa,Wanaume hawapendi..Kutojiongezaa..Vimradi vya kuongeza kipato mwanamke una kipato but unataka tu Mume ndo awe provider.Utafeli.Pia uchafuuu.Ndugu.Hakuna kero Wanaume hawapendi kama uchafu.Tujipende mwili ndani Na nje.Na pia tukumbukege Kunyoaaaaa!Sana sana aisee.... Wanawake ni headeck
Labda kama umebadilika na awamu hiimume wangu ataenjoy sana
Hahahahah eti wavaa kobaziiiWavaa kobazi ndo wanawawezea wanawake/wake zao, ukileta mdomo, TALAKA TATU fasta ukafie mbele.
Ngumu sana kumridhisha binadamu.Ngumu sana kumridhisha mwanamke bila kujifanya fala. Mtakuwa mnashindana kila siku!!!
Wanasema utamu Wa ngoma ingia ucheze, usiogopeshwe na wengine lkn tambua changamoto zipo tuu, kaka au Dada Wa tumbo moja wanatofautiana sembuse nyie mlokutana wote mna meno 32Me ndo naogopaaa mnapoyaweka bayana haya .Mungu wangu nitaoa kwl mie?
...mwambie aolewe na mshahara,..Weweeeeee ndoa ni kufuata maandiko yanasemaje kuhusu ndoa na sio kwa kuwa na wewe unaweka mshahara wako mezani ndio uwe na zarau kwa mmeo
Uweke mshahara mezani au usiweke
Mme wako aweke mshahara mezani au asiweke atabaki kuwa mme na maandiko yanavyosema enyi wanawake watiini waume zenu nanyi wanaume wapendeni wake zetu huo ndio msingi kigezo cha sawa kwa sawa hicho ni mambo ya kidunia ambayo sisi wanadamu tumekiongeza
Hahahah at least sie tuna form inayoeleweka, heshima na utii,good food and sex ndio basi full amani hatusumbuani.Ngumu sana kumridhisha binadamu.
Unanikumbusha Profesa Ngwali Udsm na DS yakeNdio ukute kasoma soma na DS 101 mambo ya Gender ndo utakoma
Hii mada hatuwezi kuimaliza, ni kwamba kila mmoja atavutia kamba kwake. Hivyo ulivyotaja ni according to you, kuna uzi nilianzisha humu wa "wanaume mnaangalia nini mtafutapo mke" majibu ya mle yatakuonyesha picha halisi ya ninachoongelea.Hahahah at least sie tuna form inayoeleweka, heshima na utii,good food and sex ndio basi full amani hatusumbuani.
Ila KE hamna jema! Hata mpewe dunia still itaonekana haitoshi, staki hio nataka ile!!! Mkipendwa sana we become too nice and boring, mkipotezewa oh hatuna mda na nyie. Sasa lipi jema!
Development Studies kozi ya mwaka wa kwanza chuo kikuu. Hapo ndo wanajazwa ujjjinggaDs ndio nin?
Tel herMwanaume au mumeo si mtu sahihi wa kwenda nae ligi hata siku moja mtazamo wangu hata Kama kakufanyia ubaya we tafuta njia tu ya kutafuta amani ya moyo wako ila sio eti kafanya hivi na mimi nafanya vile utaumia ww.
Just take care of yourself maradufu tu oga hata Mara kumi fundisha watoto wako kuna ving vya kufanya Kama mwanamke zaidi ya kuleta ligi na mwanaume
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio ukute kasoma soma na DS 101 mambo ya Gender ndo utakoma
Weweeeeee ndoa ni kufuata maandiko yanasemaje kuhusu ndoa na sio kwa kuwa na wewe unaweka mshahara wako mezani ndio uwe na zarau kwa mmeo
Uweke mshahara mezani au usiweke
Mme wako aweke mshahara mezani au asiweke atabaki kuwa mme na maandiko yanavyosema enyi wanawake watiini waume zenu nanyi wanaume wapendeni wake zetu huo ndio msingi kigezo cha sawa kwa sawa hicho ni mambo ya kidunia ambayo sisi wanadamu tumekiongeza