Haaa haaa sina wadogo zangu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mh! Kwa hiyo huwezi mimi naona bora mtu mmoja aniletee anahakikishea kuwa ni mke mwema inatosha mie nampokea tuu kama kifurushi tuu. Akizingua sikasiriki kwa kuwa nimeletewa. Lakini huyo wa kumbembeleza mimi naona akizingua naweza nikanyonga kabisa maana naona kama anacheza na emotional intelligence yangu hivi?
Basi nitapambana na hali yangu finito bye bye.Haaa haaa sina wadogo zangu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mtangulize Mungu utampata tu my friend, uwe unanipa hi!Basi nitapambana na hali yangu finito bye bye.
Acha tu kuna wakati mwingine unawaza huyu mtu tumekutana ukubwani kitu gani kilinituma niishi naye basi unamwachia Mungu mambo yanasonga mbeleKweli ndoa sio masebene akili za ziada zinatakiwa na uvumilivu wa hali ya juu..
PoaMtangulize Mungu utampata tu my friend, uwe unanipa hi!
hahaaaaaa nomawewe bwana ndugu wanazaliwa tumbo moja ila kila mtu anakuwa na tabia zake sembuse watu mmekutana tuu kila mtu na makuzi yake. alafu bwana hawa wanawake wewe ukioa ukitegemea sijui kusaidiana na mambo kama hayo itakula kwako. wewe nenda na philosophy kuwa wanawake ni burudani tuu. wewe gegeda bassssssssssss
Wapo Mkuu, tena wengi tu.Sina hakika kama kuna mwanamke asiyechepuka.
Tena wanawake wasiochepuka wanapata waume wachepukaji balaa akilalamika sasa mme anavyokuja juu usinifuatilie, mke akichoka inakuwaje halafu mme mwenyewe unakuta msomi mzuri lakini ayafanyayo ni afadhali ya bata ukimwekea maji kwenye chombo badala ya kunywa anaingia mwenyewe kuoga[emoji239] [emoji239] [emoji239]Wapo Mkuu, tena wengi tu.
Mke asiyechepuka ni yule anayekupenda sana, siyo wewe unampenda yeye kwanza..
Kwa hiyo ukitaka mke asiyechepuka, tafuta mwanamke anayekupenda sana, na siyo wewe umpende yeye.
Wanawake wasiochepuka wapo wengi kwa sababu, "wanawake wanaokupenda sana wako wengi".
Kuongea si tatizo anaongea nini? Au hizo anachokilalamikia wewe huwezi kukifanya au kukitekeleza mie nazani mtu kama nimuongeaji angalia anaongea nini na nikwasababu gani? Ss utakuta mme huyui mke anataka nini au anahisia gani ubabe kwa kwenda mbele ukija chakula cha usiku wewe uko busy na huko nje mke alalamike aambiwe anaongea sana jamani waume msitese watoto wa wanaume wenzenu mtu katoka kwao kakufuata wewe kwanini umfanyie hivyo machozi ya wanawake watiifu yana laana kubwaMkuu establishment usikubali kubeba msalaba unaoungua shingoni utakufa siku si zako. Kama ni muongeaji sana mkate kauli ajifunze. Suala la usafi nenda naye taratibu atabadilika.
Kwa maelezo yako Mkuu, point ya msingi inakuja palepale "mwanamke asiyechepuka ni yule anayekupenda sana", na tena, "mwanaume ndiye anayesababisha mwanamke achepuke".Tena wanawake wasiochepuka wanapata waume wachepukaji balaa akilalamika sasa mme anavyokuja juu usinifuatilie, mke akichoka inakuwaje halafu mme mwenyewe unakuta msomi mzuri lakini ayafanyayo ni afadhali ya bata ukimwekea maji kwenye chombo badala ya kunywa anaingia mwenyewe kuoga[emoji239] [emoji239] [emoji239]
Dah... Weka akiba ya maneno[emoji87]Acha hizo kama umeoa mchepukaji sio wote wana tabia hizo wapo wenye maadili
Siku ukikamatwa ujue huna chakoMimi ukinitafutia mwenzangu na mm natafuta mwenzio ngoja droo
Nawapenda sana wanawake wasiopenda kufua chupi zao.Pengine na wewe una mapungufu pia .....ila mkeo vululuvululu ndani kutandika shida chupi kufua mwiko