Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Duh aiseee
 
Sasa hapo unawaongelea wanaume 99.9999% , sidhani Kama Kuna mwanaume hafanyi uzinzi
Uzinzi sio tija unafanyka jinsia zote tu, shida pale mtu haweki familia mbele na kuwekeza kwenye ujinga. Mtu timamu huweka familia mbele, mi tangia nianze kubanjuka na wanaume tofauti tofauti naona hamna jipya zaidi ya kujiongezea mikosi walah. So zinaa haina jipya shida ni pale hudikirii mbele, after uzinzi kipi cha maana unafanya. Uzinzi wafanye yet kujiliza liza
 
Akili hizi ndo zinawaponza
 
Naamini kwenye mahusiano lazima kuna poisitive na negative, yaani kuna alie juu na mwingine lazima awe chini ili uweze kudumu hata urafiki wa kawaida tu lazima kuna anayeshuka chini na mwingine anakuwa ndio control. Kama kwenye ndoa wewe umeshindwa tokea mwanzo kujionyesha wewe ndio the boss hakika utapata taabu sana . Ukitaka kuvua samaki hautegi na chips mayai labda kwa sababu wewe unapenda sana chips mayai ila utatumia chambo ambayo samaki anapenda hapo utampata.
 
Uwe na hofu na Mungu ambaye hayupo?? Si ndiyo utazidisha matatizo sasa
 
Nimewaogopa watu wa JF ,jinsia mbili mbili
Ha haaaaa kweli cjui imekuaje. Kama vile sijaiandika mm, itakuwa mtu alihack acc yangu. Kweli tena sikumbuki kuandika hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…