Ndoa nyingi ni mtifuano wakati mwingine mke anakuwa ila mwanamme anaanza michepuko mpaka mke naye anachoka, tupo wake wazuri mbona wanatuharibu hao hao wame [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuchepuka mbona kawaida tu mkuu haishangazi siku hizi Wana ndoa Wana shindana kuchepuka
Nahisi alitania tu[emoji23]Hahaaaaa ni shiiida
Ila long I'd yake mwanzo ilikuwa ina comments kidume hivi, then nikaona changes Kuwa ya kike so nikipuuzia numbisa ndo kafukua kaburi. Ni kweli mitandao si ya kuiamini hasa character ya mtuUkweli mtandao wowote usimuamini mtuu!...ila kwa Demi ni KE huyo
Nahisi alitania tu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]hu mchezo hauhitaji hasira @demi
Hebu tania wewe Kuwa wa kike mkuu tuone ka ni rahisi.
Haaaaa haaaaa haaaaaKutwa kujisikilizisha mahubir ya Mwakasege lakini hajui lolote kuhusu ndoa
Ni kweli wengi wanaingia ndoa ka fashion na hawataki kuacha mambo ya ubachelor unategemea nini? Ni bora usiingie ndoa ka hujajikana kuacha tabia za ajabu ajabuNdoa nyingi ni mtifuano wakati mwingine mke anakuwa ila mwanamme anaanza michepuko mpaka mke naye anachoka, tupo wake wazuri mbona wanatuharibu hao hao wame [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaaa eti wanaume design ya delicious hujifanya ke humu. Humu JF Kuna watu wamekutana na mashoga wenye I'd za kike so unaposema utani ur wrong my dear. Ngoja dume lenye I'd lijipendekeze kwako ulete mazoezi uje ukutane naye mbona utajutra.mkuu kutania kuwa me ni rahisi kuliko me kutania kuwa ke
Haaaaa haaaaa kwahiyo kamkia kake anakalokea kwa machangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo mana mke hakupi mume wa kwenda ambiance bora ndoa ife. Wewe ni tatizo kwa ndoa yako kufa. Mkeo ndo mana ka kupuuza licha ya kununua za malaya bado huna amani. Ungekuwa mume wangu ningekunyoosha wallah
Mwee mweee mweeeTatizo sio kuchepuka bora ambaye Ana akili ya kutafta hela, sio wachepuka huku huna akili ya meandeleo bora ukafilie huko mbele.
Kweli...mkuu kutania kuwa me ni rahisi kuliko me kutania kuwa ke
Haaaa haaaa haaaaSasa si umuweke mkuu. Hafu huyu changu huwa una msifia sana humu JF naona unamtaftia wateja kiujanja. Mkeo Nampa salute kunyoosha wapuuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani ilikuwaje na wewe ukacoment vile hebu niambie sasa
Haahaaa...unawasaidia ukonk konkNilikuwa nawasaidia wanaume
Mwanaume mhuni hata akili ya life hana wala anawaza ngono tu dailyMwee mweee mweee
Ndiyo wapo!Sasa hapo unawaongelea wanaume 99.9999% , sidhani Kama Kuna mwanaume hafanyi uzinzi
Njoo nikupetpetNajuta kuoa uchagani. Nataman muujiza ufanyike hata Leo usiku