Oooh. Usijali mwaya ila kama usemavyo, japo mie naona haitakuwa hatari kuwaamini ikiwa tutakuwa na utulivu katika kuchambua wa kuwaamini.Hatuku chart sana it was short chart. That's why ku trust mtu jf ni hatari people have hidden agenda
Nasubiri akianza kutania unitag. 😂😂😂😂Hebu tania wewe Kuwa wa kike mkuu tuone ka ni rahisi.
Ila weweeee. Sijui ulikula nini jana mdogo wangu. 😜😜😜😜usirudie tena siku ingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimejua kukuhenyesha khaa uncle demi halaf kuwa makini na ile I'd ingine sasa
😂😂😂😂 ngoja ncheke kwanza Dada. Maana hata huelewi pa kuanzia.Hata sijui naanzia wapiii kuna nn
Mdogo wako huyo alikuwa aharibu hali ya hewa hapa. 😂😂😂😂Mm yaani hata sielewi kabisa
Amen. Goodnite to u uncle
Ila weweeee. Sijui ulikula nini jana mdogo wangu. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ncheke kwanza Dada. Maana hata huelewi pa kuanzia.
Ni hivi kuna post Demi alipost as if ye ni Me sasa Ukhuty kaiona ndio kaanza kumuuliza kama ni Me kweli.
Ila yamekwisha mwenyewe kasema alikuwa amebeba uhusika wa kina Bwana Pepsi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesawazisha kila kitu.Hahahaaa. Ama kweli penye watu wazima hapaharibiki neno.
Nimefurahi kukuona Dada ukitumia ukubwa wako kuweka mambo sawa.
👏👏👏👏👏 yaani kwa hiyo kauli lazima mtu akubali tu.
Daah. Pole jamaani. Ngoja nije tuzoze mdogo wangu.hahhahah jana nilitapeliwa dada [emoji22][emoji22][emoji22]
Hahahaaa. Yabidi ujaribu mdogo wangu japo yataka ukauzu kwa kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitafutie post moja nami niuvae uhusika loooh demi kiboko wallah
nitajaribu shogaHahahaaa. Yabidi ujaribu mdogo wangu japo yataka ukauzu kwa kweli.
Ndoa yangu ina umri kama ya kwako.Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.
Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.
NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
======
Unaweza kutazama mkasa huu ukisomwa ktk Kipind cha JamiiLeo
======
UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha.
Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).
Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.
Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nyaa.
27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA
29 Januari, 2017
Kujidai kusali kutwa/kucha na kushinda makanisa ni KUTAFUTA MIUJIZA huku haumuheshimu mumeo ni kujidanganya tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimewaogopa watu wa JF ,jinsia mbili mbili
Wana oaga kwa mbwe mbwe mapicha kibao, ndoa za mitandaoni ndo hayo sasa pambana tuVijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Hahahahaha ebu ngoja niitafute demi mwenza wangu yalimsibu nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ncheke kwanza Dada. Maana hata huelewi pa kuanzia.
Ni hivi kuna post Demi alipost as if ye ni Me sasa Ukhuty kaiona ndio kaanza kumuuliza kama ni Me kweli.
Ila yamekwisha mwenyewe kasema alikuwa amebeba uhusika wa kina Bwana Pepsi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]