Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Hatuku chart sana it was short chart. That's why ku trust mtu jf ni hatari people have hidden agenda
Oooh. Usijali mwaya ila kama usemavyo, japo mie naona haitakuwa hatari kuwaamini ikiwa tutakuwa na utulivu katika kuchambua wa kuwaamini.

Na sio kukurupuka tu.
 
Hata sijui naanzia wapiii kuna nn
😂😂😂😂 ngoja ncheke kwanza Dada. Maana hata huelewi pa kuanzia.

Ni hivi kuna post Demi alipost as if ye ni Me sasa Ukhuty kaiona ndio kaanza kumuuliza kama ni Me kweli.

Ila yamekwisha mwenyewe kasema alikuwa amebeba uhusika wa kina Bwana Pepsi. 😂😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitafutie post moja nami niuvae uhusika loooh demi kiboko wallah
 
Ndoa yangu ina umri kama ya kwako.

Mwanzo tulisumbua sana, kisa hataki kufanya ninavyotaka mimi. Na niseme ukweli hiki ni kitu kinatutesa sana wanaume tunasahau wanawake ni binadamu pia wanye sifa zote za kibinadamu wakati wewe unataka aishi unavyotaka wewe yeye pia anataka uishi atakavyo yeye, magari yanagongana.

Baada ya kuligundua hilo nilikaa nae chini tukazungumza serious jamii tuliyopo inataka mwanamke aishi vipi na mme, yapi anayaweza yapi hayawezi, yapi nayaweza yapi siyawezi, zipi anadhani ni haki zake, zipi anadhani ni haki zangu na mimi pia nikamweleza tukachora msitari.

Nikienda kinyume ananilaumu na nimejifunza kukubali ikiwa nipo nje ya msitari yeye pia hivyohivyo naona kwa sasa mambo yanasonga.

Kama shetani mwingine hataingia hapo katikati pengine tukazeeka pamoja.

Nimejifunza kutambua madhaifu yake (yasiyo ya maksudi) najitahidi kuyaziba kwa moyo mkunjufu na yeye halalamiki kuna mambo amegundua ni mapungufu yangu anajitahidi kuyaziba.
 
Hahahahaha ebu ngoja niitafute demi mwenza wangu yalimsibu nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…