mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,582
- 4,378
kama kweli wangekuwa watulivu hizo talaka zinazotoka usiku na mchana zinasababishwa na nini?Wataalamu wanadai wanawake wa dini flani (wenye sheria ya kuongeza mpaka wafike wanne) ni watulivu kwenye ndoa
kama kweli wangekuwa watulivu hizo talaka zinazotoka usiku na mchana zinasababishwa na nini?
Wataalamu wanadai wanawake wa dini flani (wenye sheria ya kuongeza mpaka wafike wanne) ni watulivu kwenye ndoa
Kabisaa yan.Kuna kipind mnapambanaa mpaka inawabid mcheke tu kwa vituko vyenu maisha yanaendelea mbele..Changamoto hazikimbiwi in life unazichelewa tu ila zipo pale pale wala usiogope oa umpendae purukushani zipo kuna time mpaka vinachekesha siku zinakwenda
Naamini hao wanaooa mke zaidi ya mmoja hawajawahi kushindwa kuwahudumia kwani wanakuwa wameshajitathmini uwezo wao wa kirijali.Ndoa zao ndo shida daily kuoana na kupeana talaka. Hafu takwimu za serikali mikoa inayooa wake wengi ndo inaongoza kwa talaka. Ka.mke mmoja kamshinda wanne si ndo watamuua kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume kiasili ni majasiri, na ni wengi sana tunawaona mtaani wana wake zaidi ya mmoja na hawajafa, ulishaona wapi dume la mbuzi likauawa na majike, dume moja laweza kuhandle majike 10 mpaka 20Wake wanne watakuua mana hutaweza kuwaridhisha kimwili watakuzalia watoto wa nje. Kwenye life changamoto haziishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume kiasili ni majasiri, na ni wengi sana tunawaona mtaani wana wake zaidi ya mmoja na hawajafa, ulishaona wapi dume la mbuzi likauawa na majike, dume moja laweza kuhandle majike 10 mpaka 20
Naamini hao wanaooa mke zaidi ya mmoja hawajawahi kushindwa kuwahudumia kwani wanakuwa wameshajitathmini uwezo wao wa kirijali.
kuwatandika hakujengi wala kubadilisha zaidi unamjengea hofu tu na sio heshima, na ulichomzingua nacho atafanya lakini kwa bas tu sio kwa mapenzi ambavyo si sawa ataboronga tu ilimradi afanyeHuyo hatakua mchaga. Maana wangu nimetumia mbinu za diplomasia na Armed struggle (makofi/makonzi) but anabadilika siku 2 ya 3 anarudi kule kule. Majuzi aliniletea upuuz wa kuondoka na wanangu bila ruhusa yangu nilipomkataza akaanza kupandisha nilimuwashia moto brek ya kwanza dawati la jinzia.
**hawa viumbe lazima kuwatandika mabanzi ili twende sawa
Annastazia 0785 680 468Oi mwana nsaidie number za mademu ambiance
Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.
Yaani huko ni kujisahau kulikopitiliza kwa wanawake kwa kweli, ni kuzoea ndoa huko ila kila mmoja ana mapungufu na yapo yanayorekebishika
Wake wenza wakianza fujo huyo mwanaume atachanganyikiwa vzuriTena ukitaka kuivunja ndoa yako jidanganye kuoa mke wa pili.. hakuna Rangi utaacha kuona ..kwanza mngejua ndoa nyingi zimedumu kwa uvumilivu wa wanawake ..wanawake oyeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe tupe simulizi tujifunze wadogo zenu kabla ya kuingia ulingoniSina la kuongeza maana nimeoa nauona moto wake,
Unaweza kuyayusha hata hicho Chuma cha uvumilivu.
Umenena vyema NduguUkitaka amani katika familia ni lazima baba awe kichwa yaani mfalme.yaani mfumo dume. Haiwezekani basi bora umkabidhi madaraka tu. Vitabu vitakatifu havikukosea kumpa mamlaka baba. Wanawake mtusamehe lakini ndio ukweli hakuna balance sheet kati ya mume na mke kwisha!
Acha wajidanganye tu, mke mkubwa mpenda shughuli anashindwa kumdhibiti, mke wa pili mpenda vigodoro mama upatu, kama hata changanyikiwa, au anaoa polisi na nurse haa haaa [emoji23]Tena ukitaka kuivunja ndoa yako jidanganye kuoa mke wa pili.. hakuna Rangi utaacha kuona ..kwanza mngejua ndoa nyingi zimedumu kwa uvumilivu wa wanawake ..wanawake oyeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app