Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Nilichojifunza mwanaume hakikisha katika maisha yako yote fanya juu chini uwe na mchepuko wa maana.


Narudia Tena make sure unakuwa na mwanamke wa pembeni mzuri haswaaa. Wake zetu wengi Wana gubu. Ili usife mapema kwa stress na kutofurahia maisha kuwa na mtu wa pembeni wa kula nae maisha. Utaona dunia inanyoooka taratibu shwari kabisa.


Ila Sasa jifanye una Huyo Huyo mke mmoja siki akikuvuruga utakuwa na kichaa.


Mtakuja kunishukuru baadae kwa huu ushauri. Huu ni mwaka wa 10+ Nina michepuko na mambo yanaenda sawia home.
Huo mchepuko hauolewagi? Hivi mwanamke awe mchepuko miaka 10 labda tahira hapo sema ni mke mdogo huyo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Huo mchepuko hauolewagi? Hivi mwanamke awe mchepuko miaka 10 labda tahira hapo sema ni mke mdogo huyo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Acha kushupaza fuvu lako.


Akiolewa tafuta mchepuko mwingine kwani kazi iko wapi. Mbona unaonekana Hujakua kwenye hizi tasnia , endelea kupelekeshwa na wanawake.


Nyie ndio mnachoma wanawake kwenye magumia ya mikaa kwa wivu wa kipumbavu
 
Acha kushupaza fuvu lako.


Akiolewa tafuta mchepuko mwingine kwani kazi iko wapi. Mbona unaonekana Hujakua kwenye hizi tasnia , endelea kupelekeshwa na wanawake.


Nyie ndio mnachoma wanawake kwenye magumia ya mikaa kwa wivu wa kipumbavu
Kumbe nawe tahira vile vile mdangaji mkubwa wewe, hivi fuvu huwa linaishi!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Na ww vipi
 
Makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Nanyi warombo mna mambo
 
Back
Top Bottom