Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kwasababu anakaa kwako ndiyo umtendee ndivyo sivyo? Kwanini MUNGU mwenyewe alisema ni vema huyu mtu akae pekeyake nitamfanyia msaidizi, kwanini hakusema mtumwa? Msaidizi inaama ikitaka kufanya kitu au kuamua kitu lazima mkae mjadiliane, sasa Mme urudi saa 8 za usiku usiulizwe eti unataka kumitawala haa[emoji849]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
"....inamaana ukitaka kufanya kitu LAZIMA UMSHIRIKISHE...." Mwisho wa kunukuu, na hapo ndiyo matatizo yanapoanzia!
 
Nikweli kuvumilia madhaifu Lakin yapo yanayoweza kuvuniliwa ndani ya ndoa na mengine haiwezekani

Mfano Mwanamke anaechepuka anavumilika? Je utamvumilia adi pale atakapokuletea ukimwi ndan? Yapo mambo kwa kwel kwa wanandoa tunapaswa kuyatazama kwa umbali na upana wake
Ni kweli mkuu. Kuvumiliana ni muhimu sana ila uvumilivu una kikomo. Mimi alichonifanyia bwzna yule sintakaa nisahau ingawa imepita miaka mingi
 
Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.

Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.

Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Maneno mnasaba! Kila siku lawama za upande mmoja tu
 
Vijana msifikiri ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!

Kaka vipi kaka yangu[emoji3] maana line ni fupi ila imewakaa
 
Kahaba maza ako kafukuliwa na babangu
Si kama mimi nitakavyo kukojoza mtoto pisi kali utakaa kwenye msitari uache dharau ni kukupelekea moto uache kukopoana mpaka unadharau wanaume
 
Back
Top Bottom