Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Huku ndipo walipo wanawake ambo uptstairs kumechangamka na wenye kuona mbele na utatakiwa uwe flexible kupokea ushauri kutoka kwao kwa sababu huwa na malengo makubwa ya kufanikiwa. Mwanaume asiyependa kushauriwa ndiye atawaona threat tu. Mimi nimeoa pembezoni mwa mlima na ninaona tukipiga hatua kwa speed kubwa kimaendeleo. Kuwa transparent na kukaribisha mijadala ktk kupanga mambo na kuepuka kilevi na uzinzi kutawafikisha mbali kimaendeleo. Tatizo hawapendi maisha ya kona kona wala kudanganywa.
Ndugu yangu, wa huku si tulikatazwa yangu tukiwa wadogo.
Kibubu kikijaa anakureatisha in peace ili umwachie uhuru wa kumiliki peke yake.

Kuwa mkweli mfano hai ipo sana ndugu.
 
Akiwa na wanaume wa kukusaidia unajifanya hujui ili usishindane na ukuta.
Ukichapiwa mke unahisi aliyekuchapia anakuletea dhereu, dawa ni mbili tu.
1: Kudili na aliyetembea na mkeo, AU
2: Kumpiga chini mwanamke.
Wanawake wasiochepuka wapo, ipo siku utapata aliyetulia.
 
Ukichapiwa mke unahisi aliyekuchapia anakuletea dhereu, dawa ni mbili tu.
1: Kudili na aliyetembea na mkeo, AU
2: Kumpiga chini mwanamke.
Wanawake wasiochepuka wapo, ipo siku utapata aliyetulia.
Sina hakika kama kuna mwanamke asiyechepuka.
 
Maisha ya ndo ya sasa kweli ni shida. Yaani wanawake tunawatafuta sisi wenyewe hatuletewi na wazazi ila wanatushinda kuishi nao kwa amani.
 
Kwwhiyo hata mzazi wako alikuwa anachepuka basi uwe hata na staha kidogo
Siku ukichepuka utatamani uje uniombe radhi na hutakuwa nanafasi hiyo. Samahani kama nakuonea.
 
Siku ukichepuka utatamani uje uniombe radhi na hutakuwa nanafasi hiyo. Samahani kama nakuonea.
Hii namba nyingine nimetoka familia yenye maadili watoto wote baba na mama 1 hakuna mtoto vichochoroni labda niambie wewe family yenu kuna baba wangapi na mama wangapi?
 
Hii namba nyingine nimetoka familia yenye maadili watoto wote baba na mama 1 hakuna mtoto vichochoroni labda niambie wewe family yenu kuna baba wangapi na mama wangapi?
Mtakatifu mtakatifu mtakatifu
 
Pengine na wewe una mapungufu pia .....ila mkeo vululuvululu ndani kutandika shida chupi kufua mwiko
 
Mtakatifu mtakatifu mtakatifu
Haaa haaa heshima yako mie nikichepuka huku hakuna mapenzi na ujue ndoa inavunjika maana sijui kujigawa nikishafika basi sinaga nyongeza
 
Haaa haaa heshima yako mie nikichepuka huku hakuna mapenzi na ujue ndoa inavunjika maana sijui kujigawa nikishafika basi sinaga nyongeza
Yangu imeshavunjika kwa uzinzi wa mke wangu.
 
Yangu imeshavunjika kwa uzinzi wa mke wangu.
Heee pole aise hiyo ni tabia ya mtu na malezi maisha yenyewe haya mmm pole sana mkuu kwanza kwetu aibu eti nimeachika kisa uzinzi duu
 
Heee pole aise hiyo ni tabia ya mtu na malezi maisha yenyewe haya mmm pole sana mkuu kwanza kwetu aibu eti nimeachika kisa uzinzi duu
Natamani kama uniltee mwanamke mwaminifu hivi inaelekea unaweza niletea mmoja.
 
Nimeshindwa...kabisa wala sitanii...
Jitahidi yaani mambo haya unaweza mke ni mzuri wa tabia lakini anapata pasua kichwa, na mme mzuri anapata mke pasua kichwa mimi hujiuliza kwanini Mungu asiwakutanishe wote wenye tabia hizo zakufanana?
 
Jitahidi yaani mambo haya unaweza mke ni mzuri wa tabia lakini anapata pasua kichwa, na mme mzuri anapata mke pasua kichwa mimi hujiuliza kwanini Mungu asiwakutanishe wote wenye tabia hizo zakufanana?
Mh! Kwa hiyo huwezi mimi naona bora mtu mmoja aniletee anahakikishea kuwa ni mke mwema inatosha mie nampokea tuu kama kifurushi tuu. Akizingua sikasiriki kwa kuwa nimeletewa. Lakini huyo wa kumbembeleza mimi naona akizingua naweza nikanyonga kabisa maana naona kama anacheza na emotional intelligence yangu hivi?
 
Back
Top Bottom