Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Ndoa ni taasisi Njema na yenye Baraka toka kwa Muumba wa Mbinguni na Nchi...!!!

Nafikiri kuna mahali tunakosea ndipo tunapata tusiyoyatarajia Katika ndoa.
Kuna kauli inaitwa haki sawa kuna watu hawajui kuchanganua maana ya haki sawa wanaleta hadi ndani ya ndoa ndo maana saa hz ndoa zimekuwa na tabu kubwa
 
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
We itakuwa ulishawachwa na unaempenda
 
Yaani hawa huwa wanakuwa wazuri sana nyakati za mwanzo za uchumba na ndoa. Baada ya miaka3 na kuendelea ndio sasa utamtambua vizuri. Yaani utanyooshwa tu. Chezea wanawake wewe! Unarudi nyumbani ukifika getini unajiuliza niingie au nirudi nilikotoka?
You are very right. Kwa sisi tusiokunywa pombe unatamani urudi home ukiwa umelewa wewe ni kuangusha asubuh ni kuamka na kusepa. Nyumba imekuwa GEREZA.
Ingekuwa kuna uwezekano wa kulala nje, hom unakuja kuwaona na kuondoka ingekuwa amani tupu
 
Hili ndo hasa la msingi, tatizo wanawake wengi wa siku hizi ni wajuaji na mme akiwa smart mpenda kutafuta suluhu kwa njia ya amani mara zote mke huishia kujenga kiburi na dharau kwa mume huyo.

Mpaka kufikia stage mwanamke anakuwa mjeuri kiasi hicho ujue amekudharau sana.. Wanaume wengi hujitahidi ku adopt huo mfumo wanaodai wanawake wa kuwa favour kimaisha ila mwisho wa siku it never works.

Tunaamua kuwa wababe tu kama suluhisho la kupata amani hamna kubembelezana tena. Na wanawake walivyo hovyo nao wanashindana nasi kuvua chupi nje ya ndoa. Na huo ndio ukweli sasa!

haya yamenikuta!!!!!!!!!!!!
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
======

Unaweza kutazama mkasa huu ukisomwa ktk Kipind cha JamiiLeo

======

UPDATE: 22 Novemba 2016

Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha.

Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.

**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nyaa.

27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA

29 Januari, 2017
Kujidai kusali kutwa/kucha na kushinda makanisa ni KUTAFUTA MIUJIZA huku haumuheshimu mumeo ni kujidanganya tu.


Ndoa ni gereza lazima kuwa makini, kumchagua mfungwa mwenzio mmoja utakayevumiliana naye ndani ya gereza hilo maisha yenu yote
 
Nikweli sababu malezi tofauti,huyu Baba na mama yake walimlea matusi au kutukana kwao kawaida kabisa na huyu malezi yake nae yaku heshimu kila umuonae na umpende kama nafsi yako,sasa hapo nisawa na Kumkoma nyani giladi na Aumbilecho mungu kumemena [emoji23][emoji23]
 
Ni balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
 
Ni balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
Upo tayar kuzini mpenz ?
 
Back
Top Bottom