Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Mkuu, Sio ndoa tu, UVUMILIVU ni kitu kizuri kwenye kila eneo, Masomo, Kazini etc. Ila Uvumilivu unabwa na NIDHAMU, Nidhamu is the fundamental Key to succes on any angle, Ukitaka kufanikiwa Ndoa, Uchumi, Elimu jamani Discpline inabeba yotee(busara,uvumilivu, upendo etc)
Mimi wakati mwingine huwa najikuta nna kila sababu ya Kukaripia/Kugombeza ila unakuta ijapokuwa nina sababu nzito kufanya hivyo, ila sifanyi nanyamaza tu kimya, au Nitaongea kwa kurekebisha bila kukaripia.
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
sina hakika kama umeolewa wewe
 
wewe bwana ndugu wanazaliwa tumbo moja ila kila mtu anakuwa na tabia zake sembuse watu mmekutana tuu kila mtu na makuzi yake. alafu bwana hawa wanawake wewe ukioa ukitegemea sijui kusaidiana na mambo kama hayo itakula kwako. wewe nenda na philosophy kuwa wanawake ni burudani tuu. wewe gegeda bassssssssssss
we jamaa umenichekesha
 
Mkuu, Sio ndoa tu, UVUMILIVU ni kitu kizuri kwenye kila eneo, Masomo, Kazini etc. Ila Uvumilivu unabwa na NIDHAMU, Nidhamu is the fundamental Key to succes on any angle, Ukitaka kufanikiwa Ndoa, Uchumi, Elimu jamani Discpline inabeba yotee(busara,uvumilivu, upendo etc)
Mimi wakati mwingine huwa najikuta nna kila sababu ya Kukaripia/Kugombeza ila unakuta ijapokuwa nina sababu nzito kufanya hivyo, ila sifanyi nanyamaza tu kimya, au Nitaongea kwa kurekebisha bila kukaripia.
honestly, mimi nimekuelewa sana, umenifanya nimewaza vingi about myself, wakati mwingine ile urge ya kugombana na mtu wa karibu huja coz tu sina uvumilivu na pia nikiona wengine hawani vumilii naumia kweli.. nadhani pia iliniharibia mahusiano yangu wa mwisho, bf yy alikuwaga na kamsemo he has zero tolerance na mm nikichanganya hasira zangu za karib, bas vurugu tuu..
 
Halafu walivyowajanja, haya hizo kero wanazifanya baada ya kuolewa na kuzaa, ila wangekuwa wanayafanya kabla sidhani kama wengi wao wangeolewa..
 
Ulisha wahi kumsifia? ukamwambia my wife your very beautiful?ulisha wahi mnunulia zawadi hat pipi ya bigboom?ulisha wahi mtoa auting hat nyuma ya ikulu akashangae bahati
Jitahidi kumsoma mkeo,kauli nzuri ni silaha na ngome ktk mahusiano
 
Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.

Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.

Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Tena mapungufu nakubwa sana.iweje wewe ujione uko perfect?yaani wewe hukosei umekuwa malaika?
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
======

Unaweza kutazama mkasa huu ukisomwa ktk Kipind cha JamiiLeo

======

UPDATE: 22 Novemba 2016

Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha.

Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.

**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nyaa.

27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA

29 Januari, 2017
Kujidai kusali kutwa/kucha na kushinda makanisa ni KUTAFUTA MIUJIZA huku haumuheshimu mumeo ni kujidanganya tu.


Na kuishi na mume kunahitaji uvumilivu wa roho ya chuma haaah!!
 
Ulisha wahi kumsifia? ukamwambia my wife your very beautiful?ulisha wahi mnunulia zawadi hat pipi ya bigboom?ulisha wahi mtoa auting hat nyuma ya ikulu akashangae bahati
Jitahidi kumsoma mkeo,kauli nzuri ni silaha na ngome ktk mahusiano
We unajua kukaa na mke...... Hongera
 
Na tambueni kila ndoa na doa lake...huwezi fananisha yakwako na ya mwingine..maisha ya kuiga ni chanzo cha migogoro...mume usela bado anao...mke bado usista duu kibao ..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
kwaaaaakweeeeliiiii, baeleze.
 
Back
Top Bottom