Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Huyo naye kazidi inatakiwa chakula apike cha familia hasa mume aku sevie msosi eeeh. Pole kwa Hilo huko mda wote a chart na nani?
Chakula hapiki wala hajui kinachopikwa....Sijui huwa anachat na nani...sababu sasa nimeacha kabisa kumfuatilia ili kujiokoa na Jela au Jeneza
 
Kila mtu ajitafutie furaha yake mwenyewe sio? Ukifika home ni kulala tu! Wanawake walio wengi (hususani wakristo) hawajielewi, kisa, ndoa ya kikristo inayosema mpaka kifo kiwatenganishe kiukweli huko ndo kunawapa kiburi cha kumjibu mume chochote, popote. Wana sahau nasi tunahitaji upendo na utamu wa papuchi vinginevyo tutautafuta popote ikiwemo kwa SHEMEJI zetu hata kwa MA-HAUSIGELI.
Hapo hujengi bali unabomoa. Maana na yeye ataenda kutafuta starehe kwingine. Haya mambo hayahitaji ushindani
 
Bora ulivo mpuuzia mana hutapata maradhi ya moyo maana uliyoyataja ni mke atakiwa kumfanyia mume sasa kuachia dada maana wengine hawajui kupika
Sijui sababu sasa nimeacha kabisa kumfuatilia ili kujiokoa na Jela au Jeneza
 
Yani had kinachopikwa hajui majanga haya she has nothing to loose ukute Ana kidumu maana wanawake tukipataga mpango kando hatusikii jambo la yoyote vile
Chakula hapiki wala hajui kinachopikwa....Sijui huwa anachat na nani...sababu sasa nimeacha kabisa kumfuatilia ili kujiokoa na Jela au Jeneza
 
Yani had kinachopikwa hajui majanga haya she has nothing to loose ukute Ana kidumu maana wanawake tukipataga mpango kando hatusikii jambo la yoyote vile
Wanawake wa aina hii wanastahili kubaki single milele
 
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Hatari
 
Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.

Yaani huko ni kujisahau kulikopitiliza kwa wanawake kwa kweli, ni kuzoea ndoa huko ila kila mmoja ana mapungufu na yapo yanayorekebishika
Unaona nijambo rahisi
 
Maisha haya mafupi Laiti wanawake wangetambua nafasi yao kwenye ndoa badala ya kupiga piga makelele maisha ya kwenye ndoa yangekuwa kisima cha furaha.
Wanawake wa kichaga ni kero, unyumba wenyewe kero, mapenzi sifuri na makelele juu
 
Hayo niyakawaida kwenye ndoa yapo makubwa zaidi ya hayo
Ni kweli aisee hayo ya usafi ni minor issue sana. Malalamiko yanatuogopesha ambao twafikiria kujiinga na Chama kubaa
 
Hahaaaaa mbona hzo kero ndogo mkuu.
Kero ndogo kwako mm naoa nipate furaha ikiwemo kujaamiiana sasa wewe ndani hutoi huduma kutwa makelele na wivu uliopitiliza unataka tushinde tukiangaliana ili iweje? Hapo Hapo unadai hela ya kumtumia mama yako kijijini
 
Kero ndogo kwako mm naoa nipate furaha ikiwemo kujaamiiana sasa wewe ndani hutoi huduma kutwa makelele na wivu uliopitiliza unataka tushinde tukiangaliana ili iweje? Hapo Hapo unadai hela ya kumtumia mama yako kijijini
Ukiona hakupi labda wivu unamsumbua sasa anaku komesha inabidi umhakikishie apunguze wivu
 
Kero ndogo kwako mm naoa nipate furaha ikiwemo kujaamiiana sasa wewe ndani hutoi huduma kutwa makelele na wivu uliopitiliza unataka tushinde tukiangaliana ili iweje? Hapo Hapo unadai hela ya kumtumia mama yako kijijini
shenzy type
 
Back
Top Bottom