Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Wanawake wengi siku hizi ni takataka usipoteze muda na mambo ya kijinga
 
hamn anko yaani uliongea kwa confidence kabisa mtu akimbiwa huy alocoment ni ke unabisha ulicomet kikonki konk kabisa nakusalimia anko demi au ulichanganya I'd mjomba Hajar pitia huku uje ushangae Numbisa pita na wew huku
Uncle???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanionea bure hamjui tu. Itakuwa hiyo siku nilivuta bangi labda. Kusema ukweli i've no idea
 
hamn anko yaani uliongea kwa confidence kabisa mtu akimbiwa huy alocoment ni ke unabisha ulicomet kikonki konk kabisa nakusalimia anko demi au ulichanganya I'd mjomba Hajar pitia huku uje ushangae Numbisa pita na wew huku
Hahahaaa. Nakugawa mdogo wangu.

Kina dada njooni mumchukue huyu M- TA naona ataka kuharibu baraza huku.

Cc. Shunie na Da Madame B
 
demi njoo uyakane hay maneno mbele yetu @ Dj sepetu ukuje huku enzi zile za intavyiiiuuuuu
Sio wote tulio na mke kama wewe. Pole kwa kupata mke wa aina hiyo. Mke wangu hana tabia hizo, ananiamini, ananiheshimu na ni msafi pia. Ana matatizo yake kama ambavyo mimi ninayo ya kwangu lakini tunavumiliana maisha yanasonga. Ndoa ni raha tu kwa upande wangu.
 
Hahaaa. Na kweli maana nakumbuka kuna kipindi ilikuwa ukija ubuyu tunatagiana Ke wote na yeye akiwemo na tulikuwa tunakwenda naye sawa tu.

Ndio maana najikuta sitaki kuamini ile post yake.
Na ubuyu anaumung'unya vizuri sana[emoji23] [emoji23] ....

Kama ni ME ntacheka sana asee. Jf[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom