Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
kama kwenye kazi ili upate lazima mfanye mahojiano,inakuwaje kwenye kutafuta mwenza sahihi wa maisha yako usifanye mahojiano ya kina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kututania khaa kumbe wewe anko
Hahaaaaa kwanini alifanya hivi mi Kuna comments nyuma nilijuaga ni mwanaume aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niacheni mie
Uncle???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanionea bure hamjui tu. Itakuwa hiyo siku nilivuta bangi labda. Kusema ukweli i've no idealooh hatuwezi kukuacha aiseee [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]anko demi no no nooooooo
Uncle???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanionea bure hamjui tu. Itakuwa hiyo siku nilivuta bangi labda. Kusema ukweli i've no idea
[emoji23] [emoji23] [emoji23]looh hatuwezi kukuacha aiseee [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]anko demi no no nooooooo
Hahahaaa. Nimecheka sana mwaya.Hafu ukute ume chart ubuyu pm
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itakuwa alikuwa anazingua[emoji28] [emoji28]Hahahaaa. Nimecheka sana mwaya.
Hahahaaa. Nakugawa mdogo wangu.
Hiyo ya zamani sasa tungejua ndo ingependeza[emoji23] [emoji23] .....but demi ni she bana!yaan ukiwa na I'd mbili lazim siku moj ujichanganye tu polee ank demiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji6]
Sio wote tulio na mke kama wewe. Pole kwa kupata mke wa aina hiyo. Mke wangu hana tabia hizo, ananiamini, ananiheshimu na ni msafi pia. Ana matatizo yake kama ambavyo mimi ninayo ya kwangu lakini tunavumiliana maisha yanasonga. Ndoa ni raha tu kwa upande wangu.
Hahaaa. Na kweli maana nakumbuka kuna kipindi ilikuwa ukija ubuyu tunatagiana Ke wote na yeye akiwemo na tulikuwa tunakwenda naye sawa tu.Itakuwa alikuwa anazingua[emoji28] [emoji28]
Hahahha
Bora mwaya utuaminishe kama ushaonana naye maana. 😂😂😂😂Hiyo ya zamani sasa tungejua ndo ingependeza[emoji23] [emoji23] .....but demi ni she bana!
Na ubuyu anaumung'unya vizuri sana[emoji23] [emoji23] ....Hahaaa. Na kweli maana nakumbuka kuna kipindi ilikuwa ukija ubuyu tunatagiana Ke wote na yeye akiwemo na tulikuwa tunakwenda naye sawa tu.
Ndio maana najikuta sitaki kuamini ile post yake.