ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
hahhah hatr
Sio pa kupaamini humu hata kiduchu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio pa kupaamini humu hata kiduchu
Sio pa kupaamini humu hata kiduchu
Wana agenda nyeti[emoji28] [emoji23]Kweli kabisa wengine wajifanya wanawake huku Wana agenda zao
Huuuhuuuu[emoji23] [emoji23]
Sio kwamba ukitembea na wanaume tofauti ndio unapoza maumivu ya aliyekusaliti hapo nyuma, nieleze best humu jf tunafundisha na kupeana elimuUzinzi sio tija unafanyka jinsia zote tu, shida pale mtu haweki familia mbele na kuwekeza kwenye ujinga. Mtu timamu huweka familia mbele, mi tangia nianze kubanjuka na wanaume tofauti tofauti naona hamna jipya zaidi ya kujiongezea mikosi walah. So zinaa haina jipya shida ni pale hudikirii mbele, after uzinzi kipi cha maana unafanya. Uzinzi wafanye yet kujiliza liza
Wana agenda nyeti[emoji28] [emoji23]
Sasa sijui ili iwejee?Na wakipata information wanasambaza aisee.
Sio kwamba ukitembea na wanaume tofauti ndio unapoza maumivu ya aliyekusaliti hapo nyuma, nieleze best humu jf tunafundisha na kupeana elimu
Sasa sijui ili iwejee?
Hahahahah aisee umetisheeer. Jf ina mambo
Hahahahah aisee umetisheeer. Jf ina mambo
Asante, basi tutulie eti Mungu atatupa waumeHata haipozi ukimaliza tendo unaanza feel guilty. Ni wewe tu kuamua toka moyoni na ku let go of any shit
Asante, basi tutulie eti Mungu atatupa waume
Mkuu hivi ni kweli nasikia huwa inafika hatua unajuta kuoa,unasema bora ningebaki kuwa Single???[/QUO
Asante Cariha una maneno mazuri, Elimu hizi ni nzuriMungu mwaminifu ukitulia anakuja wa heshima na atakaye kupenda kwa dhati. Mi niko kwenye process ya ku choose who is the best
Mtume Paulo alisema kwa sababu ya ziana mtu na aoe ina maana watu wanaoa kwa sababu ya zinaa, ila ukiweza kuhimili kutozini ww usioehivi nani aliyesema kuwa mkishaoana haiwezekani kuachana??? mimi huwa siamini katk hilo... cku nikioa mke akizingua si mnaachana tu?? alaf niwaambie siri moja, ukitaka uishi kwa aman usioe au kuolewa... utaishi kwa furaha siku zote.
Asante Cariha una maneno mazuri, Elimu hizi ni nzuri
Haliwezi kuwa suluhisho!Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.