Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Uzinzi sio tija unafanyka jinsia zote tu, shida pale mtu haweki familia mbele na kuwekeza kwenye ujinga. Mtu timamu huweka familia mbele, mi tangia nianze kubanjuka na wanaume tofauti tofauti naona hamna jipya zaidi ya kujiongezea mikosi walah. So zinaa haina jipya shida ni pale hudikirii mbele, after uzinzi kipi cha maana unafanya. Uzinzi wafanye yet kujiliza liza
Sio kwamba ukitembea na wanaume tofauti ndio unapoza maumivu ya aliyekusaliti hapo nyuma, nieleze best humu jf tunafundisha na kupeana elimu
 
Hahahahah aisee umetisheeer. Jf ina mambo
hamn anko yaani uliongea kwa confidence kabisa mtu akimbiwa huy alocoment ni ke unabisha ulicomet kikonki konk kabisa nakusalimia anko demi au ulichanganya I'd mjomba Hajar pitia huku uje ushangae Numbisa pita na wew huku
 
Hata haipozi ukimaliza tendo unaanza feel guilty. Ni wewe tu kuamua toka moyoni na ku let go of any shit
Sio kwamba ukitembea na wanaume tofauti ndio unapoza maumivu ya aliyekusaliti hapo nyuma, nieleze best humu jf tunafundisha na kupeana elimu
 
hivi nani aliyesema kuwa mkishaoana haiwezekani kuachana??? mimi huwa siamini katk hilo... cku nikioa mke akizingua si mnaachana tu?? alaf niwaambie siri moja, ukitaka uishi kwa aman usioe au kuolewa... utaishi kwa furaha siku zote.
 
hivi nani aliyesema kuwa mkishaoana haiwezekani kuachana??? mimi huwa siamini katk hilo... cku nikioa mke akizingua si mnaachana tu?? alaf niwaambie siri moja, ukitaka uishi kwa aman usioe au kuolewa... utaishi kwa furaha siku zote.
Mtume Paulo alisema kwa sababu ya ziana mtu na aoe ina maana watu wanaoa kwa sababu ya zinaa, ila ukiweza kuhimili kutozini ww usioe
 
Back
Top Bottom