establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
- Thread starter
- #1,261
Kuoa Bongo ujitoe ufahamu. Uwe Zombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri ya Mwaka MpyaNani hao wanaobeba mawe toka afrika?
Unaendeleaje na mnyakyusa wako....Kuoa Bongo ujitoe ufahamu. Uwe Zombi
Unafiki tu ndio unanisaidia katika ndoa hiiUnaendeleaje na mnyakyusa wako....
am better here
Hahahhahahaha ulipata mwanamke mchafu????Nilikuwa na mahusiano na binti wa kinyakyusa, nikawa nimetoa mahari na katija hicho kipindi nikaishi naye miezi miwili tu.
Aisee cha mpto nilikiona na uchumba ukafa na mpaka leo hii nimeamua nitabaki single tu japo umri umekwenda.
Yank nyumba yangu niliiona chungu, nikitoka kazini sitaki hata kurudi home maneno mengi, uchafu usiseme yank tabu zilizidi
Nilipata tabu sana na mbaya zaidi yeye anatka awe kidume ndani, yani nilikoma sana kipindi hicho ndani ya miezi hiyokama kuna siku nimefurahi hazifiki hata 5 yani kila siku ugoomvi
Pole sana,, kwakweli nitavumilia vyote sio uchafuNilipata tabu sana na mbaya zaidi yeye anatka awe kidume ndani, yani nilikoma sana kipindi hicho ndani ya miezi hiyokama kuna siku nimefurahi hazifiki hata 5 yani kila siku ugoomvi
Wanyakyusa na Wamachame ni balaa. Nyumba utaiona chungu hakikaNilikuwa na mahusiano na binti wa kinyakyusa, nikawa nimetoa mahari na katija hicho kipindi nikaishi naye miezi miwili tu.
Aisee cha mpto nilikiona na uchumba ukafa na mpaka leo hii nimeamua nitabaki single tu japo umri umekwenda.
Yank nyumba yangu niliiona chungu, nikitoka kazini sitaki hata kurudi home maneno mengi, uchafu usiseme yank tabu zilizidi
sisi mapadre uanaume wetu tunauonesha wapi ?Kuishi na mwanamke kunahitaji akili..na hapo ndo uanaume wako unapotakiwa kuonekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unafiki tu ndio unanisaidia katika ndoa hii
Mmmm ujifanye boya kwa mwanamke waki Africa? Si hata chakula atakuonyeshea kwa mguu chakula kafunue mezani ,uku hakichat na simuHawa viumbe ni kwikwi. Ndoa hizi lazima ujifanye boya ili maisha yaendelee.
Ndio resolution 2020[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
am better here
Kwenye kuishi maisha ya useja kama nadhiri zenu zinavosema.sisi mapadre uanaume wetu tunauonesha wapi ?